kuna mwanaume mmoja kazin!! all the time anapost vitu facebook! ukipata mda ukaingia huko unakuta kapost saa 6,7,8,9,10..! ilibid siku moja nimwambie bro hauko sawa kifamilia right!?
akajaribu kukataa nilipombana hiyo angle alifunguka makubwa!!! hiz kuta za nyumba ziachane! na ukiwakyta na my wife wanapendana utapenda!!! ilibid nimshaur tu achana na facebook chukua likizo nenda kwenu kakae na mamako kwanza!!!
kuta hiz zitakuwa mashahid siku ya kiama
Duu afadhali nikajua leo Niko pekeyangu muke ya muyahudi
mtani punguza makavu ni fujo hizi ujue
Anakoromaa fofofo sina ata hamuu
Haiwezekani uko kitandani na BEBI wako halafu umuache tu alale wee uko busy na mtandao
Wengi wana husika hapa💔👣💘💓😩😷😭😔😖😪😘😙👀msinipige mawe hamjuii nami niko wapi hapo
Ila wakati mwingine kuna hili swala la kuchokana tu , au unakuta hamna story ,, au unakuta mwenzako kalala we upo macho , au kuna kazi anafanya. So haiwezekani muwe mnafatana hapo nyuma na kufanya kila kitu pamoja. Hayo ni mambo ya ndoa changa au mahusiano machanga
Pole za chukuchuku kinondoniilala hazinogi
Hutachelewa kupotea hewani wewe nina hakika sita usiku hufiki