Kulwa Jilala
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 3,510
- 7,755
Wote lile genge walioshangilia kifo cha Rais wa Tanzania 17/3/2021 anzeni kutubu haraka maana mmejionea wenyewe jinsi watanzania walivyoupokea msiba wa jasusi mbobezi Benard Membe. Mitandao ya kijamii imelipuka kwa shangwe badala ya masikitiko!!
Freeman Mbowe, Lema ,Lisu ,Nape Makamba, Kigogo, Zito Kabwe kama msipotubu vifo vyenu vitashangiliwa sana tu zaidi ya hiki cha jasusi mbobezi na muda si mrefu hilo litatimia
Freeman Mbowe, Lema ,Lisu ,Nape Makamba, Kigogo, Zito Kabwe kama msipotubu vifo vyenu vitashangiliwa sana tu zaidi ya hiki cha jasusi mbobezi na muda si mrefu hilo litatimia