kidadari
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 8,647
- 9,574
Habari Ndugu naomba mwongozo katika uandishi wa wosia.Marehemu kaacha wosia kama ifuatavyo.
Marehem alikua na watoto 4 na kwa mke mmoja, wosia ukaaandikwa Mali zake zigawanywe kwa watoto 3 (majina yametajwa) na mke 1 na kila mtoto ameandikiwa mali atayorithi ISIPOKUA mtoto mmoja(1),
Wakati wosia unaandikwa mtoto huyo alikua ameshazaliwa.
-Tarehe ya wosia ipo
-mashahidi 3 walioshuhudia wosia ukiandikwa wapo hai
-sahihi za mashahidi na mtoa wosio zipo.
NB: Mambo gani yanaweza kunatilisha wosia wa marehemu?
Marehem alikua na watoto 4 na kwa mke mmoja, wosia ukaaandikwa Mali zake zigawanywe kwa watoto 3 (majina yametajwa) na mke 1 na kila mtoto ameandikiwa mali atayorithi ISIPOKUA mtoto mmoja(1),
Wakati wosia unaandikwa mtoto huyo alikua ameshazaliwa.
-Tarehe ya wosia ipo
-mashahidi 3 walioshuhudia wosia ukiandikwa wapo hai
-sahihi za mashahidi na mtoa wosio zipo.
NB: Mambo gani yanaweza kunatilisha wosia wa marehemu?