joto linawabeba wa mexico ila holand wanapita mechi hiiMexico walikuwa bora zaidi dimbani kwa dakika hizi 45!Holland hawajafanya hata shambulizi moja la maana zaidi ya dubious penalty claim at the of added time!
Shame on them Holland
Huyu Kocha atakuwa alitaka Kuwa Kama Silvester Stallone(Rambo) angezaliwa Tahira nafikiri, mwengine Ana midadi alikuwa wa Chile Sema Huyu wa Mexico usije kukaa karibu yake wakipata goli anaweza kukupa ngumi ya kustukiza.View attachment 167870huyu kocha wa mexico ndio anaongoza kwa midadi world cup hii!!!
Watu hawataki kusikia huu ukweli mchungu"Hao Mexico watarukaruka wee... Lakini ushindi unakwenda kwa Wadachi..!" Ukweli mchungu
Timu ambayo inatafuta magoli hii world cup yote ni Brazil tu hizi nyingine wanatupotezea muda tu sioni kama wanataka hata kufika mbali wao wanalinda tu goli
1-0 lkn refa alikataa bao halali zao 2!Mm nahesabu kama walifungwa 3-0Hawa Mexico waliwafunga cameroon mangapi?
leo hauna timu?
Leo utaumia leo maana Mkaburu anatoka
Brazil ni hivyo home tu,hawana forward wa kuaminika,wote vimeo tu,9 fred???,lol,walikuwa na bahati xana jana
Mungu atusaidie Team Holland,kwa kweli mtoano ni noma,maana mshindi na mshindwa lazima apatikane
"Hao Mexico watarukaruka wee... Lakini ushindi unakwenda kwa Wadachi..!" Ukweli mchungu
Dirk Kuyt becomes the 7th Dutchman to reach 100 caps,
Leo who ever wins am fine with it
"Hao Mexico watarukaruka wee... Lakini ushindi unakwenda kwa Wadachi..!" Ukweli mchungu