Achana na habari za Mkoloni, naona leo upo team ya ushindi Argentina, halahala tu usije na gundu kama la Katavi
#TeamArgentina
Mkuu Mourinho ,usimuogope kavi mpaka sasa ndiyo mtabiri wetu na 100% yuko sahihi.
Na leo yupo huko alisha tabiri tangu kitaaambo huko nyuma..... kwa faida yako jisomee hapa chini mkuu.
Namuonea huruma my swiitiii everlenk ,maana du!
Last edited by a moderator: