World Bank-Tanzania loan: The generation of negative externalities for good ones

'the Party leader of a religious-oriented party, the ACT-Wazalendo.'

Nilivyofika tu hapo kwny hio sentence ndipo nikagundua mtoa mada ni furushi la magimbi na naomba mtoa mada utoke nje ya nyumba unayoishi uangalie juu mawinguni huku ukijipiga piga mikono kifuani kama king kong huku ukisema MIMI NI BOYAAAAAAAAAA.

dodge
 
Kwa maoni yangu Zito Kabwe yuko overrated kama Tundu Lisu tu, hana huo uwezo mnaouongelea na sababu za WB kuzuia huo mkopo siyo Zito Kabwe kwani kwangu mimi hana hiyo power, sema anajua ninyi ni wajinga na anatumia hiyo nafasi kujinufaisha.

Zito Kabwe ananufaika na uelewa mdogo wa Watanzania wengi kwenye haya mambo kumbuka alivyowadaganya kwamba ana majina ya walioficha fedha Uswisi? Na mkaamuamini? Yaani nchi ya Uswisi yenye zaidi ya miaka 200 ya Banking secrecy ikamuamini Zito Kabwe na kukimbiza wateja wake ambao imetumia muda mwingi zaidi ya miaka 200 kujijengea uaminifu nao? Uchumi wa Uswisi unategemea Banking secrecy sasa ikaubomoe sababu ya Zito Kabwe?

Timing is everything na hapo ndipo Zito Kabwe anapowachezea.

Amini nawaambieni sababu za WB kuzuia huo mkopo ni nyingine kabisa na wala siyo mimba za mabinti, hiyo ni false flag kuna kitu kati ya Serikali na hao lenders ambacho wanashindwa kukubaliana, kwa maoni yangu, Zito Kabwe is just riding the wave, kwani kama ni kweli wangekuwa na hiyo power hao akina Zito Kabwe & Co. kwa nini wasingeitumia miaka yote hiyo? Why now?

Je ni mara ya kwanza WB wametoa mikopo TZ? Na je ni mara ya kwanza Binti kufukuzwa Shule baada ya kupata mimba hapa Tanzania? Jibu ni hapana, sasa why now?
Tumia jicho la tatu ww mbona ulikuwa mzuri wa akili nani kakurogaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Warue,

You have tried but this doesn't wash!

Mimi nadhani baada ya name calling unge-address hoja za Zitto kwenye hiyo barua aliyoituma WB. Hoja zina ukweli au si kweli?

That would have given you a dent of credibility. But through this letter one can easily see that you are one of those half baked spin masters we have in our beloved country, trying to justify all the stupid things going on in our country in the name of patriotism. We have been there.

Hivi kuzuia hawa wanasiasa kuropoka/kuhutubia nk..inazuiaje maendeleo? kuminya vyombo vya habari inasaidia vipi Maisha yetu? As a matter of fact, kwa utendaji wa JPM, angeweza akafanikisha mengi sana huku akitusaidia kama taifa kusimika utawala wenye misingi ya uwajibikaji na siyo one man show.

JPM has killed all insitutions of accountability. As a matter of fact, why should international lenders provide money, if as we all know, there wont be any sense of accountability along the way? I love my country. But I reject this notion ya kujifanya vipofu kwamba hatuoni madudu ya watawala kwa sababu ya uzalendo fake.

JPM ni kiongozi ambaye alijipambanua tangu mwanzo kwamba anataka kutuvusha from point A to B na wengi tulimwamini. But I can guarantee you, huyu mzee wetu (full disclosure: nilimpigia kura), akiondoka, Tanzania inaweza kurudi nyuma kuliko alipoikuta.

Hakuna nchi yoyote iliwahi kuendelea bila dialogue ndani ya watu wake. Huwezi kuwa one man show. Tanzania kwa sasa hatuna hata institutions za kuuliza hiki vipi..kile vipi. Maisha siyo vitu. Ni Zaidi ya hilo. We need to dialogue. we need to hold to account wale tunaowapa dhamana. Leo hii tunafanya uchaguzi kwa formality-just to tick the box. Ila wote tunajua ni hopeless exercise.

Again, WB watatupa hizo hela, lakini, mimi mpaka leo naamini kwa dhati kabisa, approach ya JPM kwenye kututawala, haitatufikisha tunapotaka kama taifa. Peaceful, united and prosperous for the good of everyone.

Mimi siyo fun wa Zitto. But I can understand his frustrations! Hana pa kusemea! Ndo maana kaamua kwenda Washington. wale wana uwezo wa kuuliza na wakajibiwa.

You have nailed it spot on. I dare say you have represented the views of every Tanzanian who is honest enough to say the truth as it is.
Great piece of writing.
 
Besides the meeting, the decision might have been fuelled by a letter from Kigoma North Member of Parliament Mr. Zitto Zuberi Kabwe (ZZK), the Party leader of a religious-oriented party, the ACT-Wazalendo.

hapa ndio umenichafua sana. kiasi kwamba hayo yote uliyoandika nimeona yamekaa ki CCM tupu.


ACT ni chama chenye asili ya Kidini?
 
hapa ndio umenichafua sana. kiasi kwamba hayo yote uliyoandika nimeona yamekaa ki CCM tupu.


ACT ni chama chenye asili ya Kidini?

Kutegemea watu wa ccm hii waseme ukweli ni sawa na kutegemea kuvuna maembe kwenye mpera.
 
Mmmmmmh Safari hii. CCM wanaongea kila lugha.

Ama kweli sasa wanaziona kila rangi.

title ipo poa. ila umepuuzwa sana kwa kumshambulia mtu binafsi.

hoja hupingwa kwa hoja.

Maisha binafsi ya Zitto unayaleta ya nini?

katika jambo kubwa hili stick kwenye hoja tutakuelewa.

Wengine tunahitaji ufafanuzi tu. kama Kukopa kunaleta vita, ukikataliwa mkopo tafuta mkopeshaji mwingine.

Ukitaka cha uvunguni shart uiname.

WB ina mashart yake. kama hayakizi au magumu au ya kibeberu ni bora kuacha haya haya mamikopo.

Kukopa kopa ni utumwa. ndani yake unakuta ushoga na uchafu mwingi.

Ni bora kuachana na haya mamikopo ya WB tubaki na mchina wetu.
 
Back
Top Bottom