Tatizo wanaendekeza usuperstar sana anaona atajidhalilisha wakati sasa hivi ndio anadhalilika maana kakosa hata pedeshee lakumsitiri au hata kumpa scandal za magazetini ili jina liendelee kusikika
Wewe nakwambiaga unapenda umbea ila vitendea kazi huna, kuna Moet Hennesy na Moet shampeni mwaka jana mimi niliuziwa kwa sh 45,000/= sijui kwa sasa maana mimi ni mtu wa bia hiyo niliagiza kwa ajili ya mtu maalum.
Wewe nakwambiaga unapenda umbea ila vitendea kazi huna, kuna Moet Hennesy na Moet shampeni mwaka jana mimi niliuziwa kwa sh 45,000/= sijui kwa sasa maana mimi ni mtu wa bia hiyo niliagiza kwa ajili ya mtu maalum.
Wewe nakwambiaga unapenda umbea ila vitendea kazi huna, kuna Moet Hennesy na Moet shampeni mwaka jana mimi niliuziwa kwa sh 45,000/= sijui kwa sasa maana mimi ni mtu wa bia hiyo niliagiza kwa ajili ya mtu maalum.