Wizi wa simu mabasi ya Mikoani

Wizi wa simu mabasi ya Mikoani

Duh! Mkuu umenikumbusha.J5 mke wangu walimwibia sim ya huawei wakati anashuka kwenye basi hapo ubungo.Kwa mabasi ya Babati,Polepole ndiyo linaongoza kuwa na wezi wa sim,maana hapo juzi tu mzungu mmoja walimwibia sim,pass,na camera.Polepole badilikeni wizi utawatoa sokoni.
 
Nauli aliyolipa itakuwa ndio mgawo wa kondakta na dereva. Walishachukuwa chao mapema kumbuka alilipia watu wawili. Suala la kusema kama huyo dada asingetoa cm dili lingebuma si kweli. Maana mwizi angemfatilia mpaka mwisho na lazima afanikishe tu kwakuwa tayari ameishalipia. Angeshindwa kuiba kwenye gari angeweza hata kukaba wakishuka.
 
Sasa kama huyo dada asingetoa smartphone inamaana mpango wake wizi ungebuma, mmh!!!
Khaa!! hata mimi nimeshangaa. Kweli jamaa anabahati sana. Kwani huu ulikuwa mpango wa hovyo sana :glasses-nerdy:
 
Back
Top Bottom