Hiyo sio tabia "modus uperandi" ya wauza unga kupora fedha .....na kama ni kweli hayo ni mauza unga basi yamechoka .....kifedhaLakini kumbuka inasadikika kuwa waliofanya tukio ni magenge ya madawa ya kulevya na mihadarati, tena yamekubuhuu kwa mapambano maana kuna report moja imesema kuwa waliofanya hivyo walijiunga pamoja gerezani Brazil wakatengeneza kikosi chao cha kazi toka huko huko gerezani.
We dada unapenda kuchekesha watu kweli.Wangekuwa bongo wangekamatwa tu;
polisi yetu iko vizuri sema tu ni mpaka waamue.