Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,946
- 38,668
Usiku huu nimepita kwa wakala kupata huduma ya simu pesa.
Nimekuta varangati ambapo kuna mteja alifika (kama saa nzima iliyopita) kuweka salio katika Airtel Money. Amerejea kwa wakala akilalamika hela haijafika na amecheki salio hakuna iliyoingia. Wakala amemuonyesha ujumbe wa uthibitisho wa kutumwa hela na kutumiwa kamisheni yake.
Wakala ameamua kupiga huduma kwa wateja kuulizia, Mhudumu anakiri kuwa hela imetoka kwa wakala na hivyo hadaiwi na mteja. Lakini mhudumu anaulizwa mbona mteja hajapata salio? wakamwambia aangalie salio lakini ameangalia zaidi ya kukatwa ada hakuna fedha iliyoingia.. Baada ya wakala kumtaka mhudumu kutoa majibu kuhusu huo muamala, mhudumu akamwambia kata simu nishughulikie....
kuanzia hapo simu hazipokelewi na wamedisable option ya wakala kurejesha muamala.
Nimejisikia hasira sana.
Airtel nimethibitisha wanawaibia wateja wao na siyo mtandao wa kuaminika tena.
TCRA inashiriki kwa kufumbia macho malalamiko ya wateja wa mtandao huu
Nimekuta varangati ambapo kuna mteja alifika (kama saa nzima iliyopita) kuweka salio katika Airtel Money. Amerejea kwa wakala akilalamika hela haijafika na amecheki salio hakuna iliyoingia. Wakala amemuonyesha ujumbe wa uthibitisho wa kutumwa hela na kutumiwa kamisheni yake.
Wakala ameamua kupiga huduma kwa wateja kuulizia, Mhudumu anakiri kuwa hela imetoka kwa wakala na hivyo hadaiwi na mteja. Lakini mhudumu anaulizwa mbona mteja hajapata salio? wakamwambia aangalie salio lakini ameangalia zaidi ya kukatwa ada hakuna fedha iliyoingia.. Baada ya wakala kumtaka mhudumu kutoa majibu kuhusu huo muamala, mhudumu akamwambia kata simu nishughulikie....
kuanzia hapo simu hazipokelewi na wamedisable option ya wakala kurejesha muamala.
Nimejisikia hasira sana.
Airtel nimethibitisha wanawaibia wateja wao na siyo mtandao wa kuaminika tena.
TCRA inashiriki kwa kufumbia macho malalamiko ya wateja wa mtandao huu