Inafahamika kwamba ukiwa na kifurushi cha cheka cha voda, mfano cha saa 24, ukinunua kifurushi kingine kabla ya muda wa saa 24 kuisha dakika za maongezi/sms/MB zinaongezeka juu ya zile zilizokuwemo bado kwenye kifurushi.
Lakini saa 24 zikifika hata kama ukikuwa bado na dakika za maongezi/sms/MB vyote "vinaliwa". Sasa hapo ndo voda huwa wananipa kichefuchefu! Kifurushi kinaisha saa 6 na dakika 2 na bado kina dakika za maongezi/sms/MB za kutosha.
Tangu saa 5 na nusu nahangaika kununua kifurushi mpaka muda wa kuisha kifurushi bado sijafanikiwa. Jibu ni kuwa "..ombi lako linashughulikiwa...".
Cha ajabu nikiuliza salio la cheka najibiwa na muda wa kifurushi kuisha ulipofika wala taarifa haikuchelewa kwamba tayari imekula kwangu!! Huu ni upuuzi. Huu ni wizi!
Huu ni mfano mmoja kati ya mingi ya wizi/utapeli/ubabaishaji wa mitandao ya simu ikiongozwa na vodacom. Ndio hapo navurugwa kusikia eti kuna watu ambao wana mamlaka na wangeweza kufanya jambo juu ya wizi huu, lakini sijawasikia/kuwaona wakifanya chochote halafu leo wanataka "urahisi".
Usipoonesha umahiri kwenye mambo "madogo" kiherehere cha kutaka uaminiwe kwa mambo makubwa na mazito zaidi cha nini!!
Lakini saa 24 zikifika hata kama ukikuwa bado na dakika za maongezi/sms/MB vyote "vinaliwa". Sasa hapo ndo voda huwa wananipa kichefuchefu! Kifurushi kinaisha saa 6 na dakika 2 na bado kina dakika za maongezi/sms/MB za kutosha.
Tangu saa 5 na nusu nahangaika kununua kifurushi mpaka muda wa kuisha kifurushi bado sijafanikiwa. Jibu ni kuwa "..ombi lako linashughulikiwa...".
Cha ajabu nikiuliza salio la cheka najibiwa na muda wa kifurushi kuisha ulipofika wala taarifa haikuchelewa kwamba tayari imekula kwangu!! Huu ni upuuzi. Huu ni wizi!
Huu ni mfano mmoja kati ya mingi ya wizi/utapeli/ubabaishaji wa mitandao ya simu ikiongozwa na vodacom. Ndio hapo navurugwa kusikia eti kuna watu ambao wana mamlaka na wangeweza kufanya jambo juu ya wizi huu, lakini sijawasikia/kuwaona wakifanya chochote halafu leo wanataka "urahisi".
Usipoonesha umahiri kwenye mambo "madogo" kiherehere cha kutaka uaminiwe kwa mambo makubwa na mazito zaidi cha nini!!