Wizi mpya kwa mitandao ya simu

Wizi mpya kwa mitandao ya simu

kinjekitile70

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2017
Posts
1,071
Reaction score
1,428
Wakuu kama kichwa kielezavyo, nipende kujikita hasa kwenye mada husika

Mara mbili mfululizo nimepokea sms kutoka kwa watu wawili tofauti ambayo siko na namba zao na sijawahi kuweka nao ahadi zozote za mihamala

Kitu cha ajabu ni kwamba namba zao hazipatikani na sms hawajibu

Rai
Kwani wahusika wa kawaadabisha hawa wezi nani anapaswa kuwashughulikiaaa????
Screenshot_2018-04-24-19-29-40.png
Screenshot_2018-04-24-19-29-05.png
 
kinjikitile ngware yulee mchawi wa majimaji akachochea bifu kati ya mjaruman na mmatumbi teh teh teh
 
Delete tu, una assume ni sms za Tigo, voda au za promotion.
 
Asee hii meseji niliipata, leo nikabaki naisoma kila mara nawaza nan nilomuahid pesa... Thank God niliipuuzia.
 
Kuna huyu kima mwengine 0782 131587, anapiga simu kisha anakwambia umetumiwa pesa kimakosa. Hivi TCRA Mko mmelala eh?
 
Hawa watu wataendela kwa sbb soko la wenye hamu ya kutapeliwa ni Kubwa, na hata walio wahi kukamatwa kwa makosa haya.Hukumu zao hazijulikani mpaka leo.Hivyo watu wanaendeleza ubunifu wao
 
Back
Top Bottom