Ze burner
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 514
- 83
Habari zenu wadau!
Kama tunavyofahamu, kumekuwa na wimbi kubwa sana la vibanda vya MPesa na vyenginevyo. nazungumzia Mpesa kwa sababu huko ndiko kaidha ninayotaka kueleza ilipotokea.
Nimekutana na wizi wa kimacho macho wa laini yangu ya Mpesa!. Awali niliitumia laini hiyo kufanya kazi eneo XXXX, baadaye nikaamua kuihamishia eneo YYY. niliacha kufanya kazi kama wiki mbili tu wakati nikifanya utaratibu wa kuihamisha laini hiyo kwenda YYY.
Mara tu baada ya kuwasili laini hiyo tuanza kuweka pesa kiasi cha (xxxx.....) hivi. Tukafanya transaction za majaribio zikakubali fresh tunaanza kazi. Siku iliyofuata baada ya kuanza kazi kama transactions mbili tatu hivi laini inakata network. kufuatilia jamaa wanasema eti laini inafanya kazi. siku ya pili hivo hivo wakati laini yenyewe ilikua haina hata network.
Baada ya kufuatilia zaidi wananambia laini eti haijatumika kwa muda mrefu. hivi inawezekanaje wakati tuliacha kufanya kazi wiki mbili na tulianza kazi ikiwa iko vyema sasa inakuaje imeuzwa. Hiyo laini wanayoisema wao imeendelea kutumika kwa zaidi ya mwezi kabla ya mimi kupeleka malalamiko yangu.
Najua nimeibiwa ila kwa misaada yenu naamini hiki hawezi potea bure!
Mawazo tafadhali
Kama tunavyofahamu, kumekuwa na wimbi kubwa sana la vibanda vya MPesa na vyenginevyo. nazungumzia Mpesa kwa sababu huko ndiko kaidha ninayotaka kueleza ilipotokea.
Nimekutana na wizi wa kimacho macho wa laini yangu ya Mpesa!. Awali niliitumia laini hiyo kufanya kazi eneo XXXX, baadaye nikaamua kuihamishia eneo YYY. niliacha kufanya kazi kama wiki mbili tu wakati nikifanya utaratibu wa kuihamisha laini hiyo kwenda YYY.
Mara tu baada ya kuwasili laini hiyo tuanza kuweka pesa kiasi cha (xxxx.....) hivi. Tukafanya transaction za majaribio zikakubali fresh tunaanza kazi. Siku iliyofuata baada ya kuanza kazi kama transactions mbili tatu hivi laini inakata network. kufuatilia jamaa wanasema eti laini inafanya kazi. siku ya pili hivo hivo wakati laini yenyewe ilikua haina hata network.
Baada ya kufuatilia zaidi wananambia laini eti haijatumika kwa muda mrefu. hivi inawezekanaje wakati tuliacha kufanya kazi wiki mbili na tulianza kazi ikiwa iko vyema sasa inakuaje imeuzwa. Hiyo laini wanayoisema wao imeendelea kutumika kwa zaidi ya mwezi kabla ya mimi kupeleka malalamiko yangu.
Najua nimeibiwa ila kwa misaada yenu naamini hiki hawezi potea bure!
Mawazo tafadhali