Genghis Khans
JF-Expert Member
- Dec 5, 2015
- 502
- 462
Hapewe ridhiwani kikwete, kuongeza mtaji wa family.
Kwa kazi gani mbn ngoma bado!mzee wa lushoto na mzee wa msoga wamempiga pini masolex sahv, mwendo ni remote tuuMtataja sana majina ya watu,lakini hii ni awamu ya kazi,mtabashiri sana mwaka huu,hapa kazi tu.
Na ataweza sana tu... ndio mtanyooka..!!🚶🚶🚶
Sijui kama kuna mpango wa kumpa Makongoro uwaziri. Lakini hapo katika fedha hafai. Zimebakia wizara ngapi vile? Fedha,Ujenzi,Elimu na Utalii.Ujenzi ndio naona ingefaa kama kuna mpango wa kumpa uwaziri. Lakini lazima itakuwepo reshuffle baadaye suluhu ikipatikana Zanzibar. Lakini kwa hali zilivyo Zanzibar nadhani sasa hivi itafika manowari pale kuusuluhisha ile mgogoro.
Basi mafccm watampa nyoka mwenye makengezaHizi wizara ni za wanaccm wanaokilinda chama na haitakua kama JPM anavyojaribu kutaka. Just wait and see what will really happen.
Yarabi tumeumiaaaa!nipewe mimi tu