Wizara ya Elimu Imemezwa na Tamisemi

Wizara ya Elimu Imemezwa na Tamisemi

Mpanda nyangobe

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2015
Posts
778
Reaction score
1,721
habari gani waungwana......
Inasikitisha na kuhuzunisha pale mambo yanayotakiwa yatolewe ufafanuzi na wizara ya elimu,,hivi sasa yanatolewa maelezo na wizara ya tamisemi...
Imekaaje waziri wa tamisemi anaongelea masuala ya elimu wakati waziri husika yupo..
nimemsikia ummmy akisema " watoto waende kuripoti shuleni hata kama hawana uniform "...sasa Mimi najiuliza huyu mama kawa msemaji wa wizara ya elimu?
Sasa hivi wizara ya elimu wamebaki kutunga mitihani na kutangaza matokeo basi!
 
Miingiliano (isiyo ya lazima) ni mingi sana kwenye mfumo wa Nchi nzuri ya Tanzania. Hii inachangia uzembe wa baadhi ya maafisa, viongozi, watumishi na watawala, na hivyo kupelekea kuzorota kwa kasi ya ukuaji, uzalishaji, utoaji huduma, haki na suala la maendeleo kwa ujumla.
 
habari gani waungwana......
Inasikitisha na kuhuzunisha pale mambo yanayotakiwa yatolewe ufafanuzi na wizara ya elimu,,hivi sasa yanatolewa maelezo na wizara ya tamisemi...
Imekaaje waziri wa tamisemi anaongelea masuala ya elimu wakati waziri husika yupo..
nimemsikia ummmy akisema " watoto waende kuripoti shuleni hata kama hawana uniform "...sasa Mimi najiuliza huyu mama kawa msemaji wa wizara ya elimu?
Sasa hivi wizara ya elimu wamebaki kutunga mitihani na kutangaza matokeo basi!
Wizara ya elimu inahusika na SERA ya Elimu na Mitaala peke yake plus na vyuo vya elimu.

Suala la masuala ya wanafunzi, kuandikishwa, majengo, chaki, ajira na miundombinu yote iko chini ya TAMISEMI.

Hata Wizara ya Afya iko hivyo.
 
habari gani waungwana......
Inasikitisha na kuhuzunisha pale mambo yanayotakiwa yatolewe ufafanuzi na wizara ya elimu,,hivi sasa yanatolewa maelezo na wizara ya tamisemi...
Imekaaje waziri wa tamisemi anaongelea masuala ya elimu wakati waziri husika yupo..
nimemsikia ummmy akisema " watoto waende kuripoti shuleni hata kama hawana uniform "...sasa Mimi najiuliza huyu mama kawa msemaji wa wizara ya elimu?
Sasa hivi wizara ya elimu wamebaki kutunga mitihani na kutangaza matokeo basi!

Hii wizara imepewa mambo mengi mno, hata mambo ya Tarura si saize yao haya yalipaswa kwenda wizara ya miundombinu
 
Wizara ya elimu ni software,wizara ya Tamisemi ni hardware zaidi,,hakuna aliemmeza mwenzake
 
Siyo Elimu pekee pamoja na Afya na Miundombinu ,,Maji naona wamechomoka na RUWASA.
 
Wizara ya elimu inahusika na SERA ya Elimu na Mitaala peke yake plus na vyuo vya elimu.

Suala la masuala ya wanafunzi, kuandikishwa, majengo, chaki, ajira na miundombinu yote iko chini ya TAMISEMI.

Hata Wizara ya Afya iko hivyo.
suala la uniform ni suala la wizara ya elimu. Yani kwa ufupi mwalimu yupo chini ya tamisemi mwanafunzi yupo chini ya elimu kwa aina flan ya utendaji.
idadi ya wanafunzi kwa darasa moja ni elimu lakini jengo tamisemi sasa unakuta tamisemi inaharibu elimu kwa kutofata au kutimiza wajibu wao.
mfano wanafunzi wanapozidi idadi ina maana tamisemi wameshndwa kutimiza wajibu wao na hvyo wanamuathiri mwalimu mwanafunz na wizara ya elimu
.unapoingilia suala la uniform moja kwa moja unaigusa wizara ya elimu. Uniform ni nidhamu uniform ni makubaliano uniform ni utambulisho
 
Hii wizara ya tamisemi ni hatari kwa afya ya taifa hili, tangia hii wizara hii imeundwa kumekuwepo na ubadhilifu wa mali za umma unafanyika kwa urahisi, tamisemi ni Chaka la upigaji, huwezi kuwa na wizara husika Kama elimu na afya; mawaziri na manaibu waziri wapo halafu inaundwa wizara nyingine bubu kupokonya madaraka ya wizara husika
 
suala la uniform ni suala la wizara ya elimu. Yani kwa ufupi mwalimu yupo chini ya tamisemi mwanafunzi yupo chini ya elimu kwa aina flan ya utendaji.
idadi ya wanafunzi kwa darasa moja ni elimu lakini jengo tamisemi sasa unakuta tamisemi inaharibu elimu kwa kutofata au kutimiza wajibu wao.
mfano wanafunzi wanapozidi idadi ina maana tamisemi wameshndwa kutimiza wajibu wao na hvyo wanamuathiri mwalimu mwanafunz na wizara ya elimu
.unapoingilia suala la uniform moja kwa moja unaigusa wizara ya elimu. Uniform ni nidhamu uniform ni makubaliano uniform ni utambulisho
Yeye hajasema wanafunzi wasivae Uniform.

Kununua Uniform ni jukumu la mzazi.

Ila amesema kwakuwa madarasa yapo, kama ikitokea labda kwasababu za kiuchumi mzazi akawa amekwama kununua uniform za mwanaye, basi mwanaye anaweza kuanza kusoma kwa kutumia uniform zile zile za Primary kwa muda.

Hapa kosa la Ummy ni lipi mpaka tupoteza nguvu kujadili?
 
Miingiliano (isiyo ya lazima) ni mingi sana kwenye mfumo wa Nchi nzuri ya Tanzania. Hii inachangia uzembe wa baadhi ya maafisa, viongozi, watumishi na watawala, na hivyo kupelekea kuzorota kwa kasi ya ukuaji, uzalishaji, utoaji huduma, haki na suala la maendeleo kwa ujumla.
Set up iko poa tuu.unayejichanganya ni wewe mwenyewe.Watunga sera ni wizara ya elimu.watekelezaji wa sera ni Tamisemi.Ummy na Ndalikchako wenyewe wanelewa mipaka ya kazi zao
 
Back
Top Bottom