Wivu umeniponza

Duh, pole mkuu, mshukuru mungu kakuepushia na huyo shetani, wanawake wapo kibao, ila ili usimuwazie sana,tafuta mwingine and get close to her. Huyo utamsahau tu

invest what you are willing to lose
 
Lakini mkuu.....
Unajua nimejikuta nawaza sana baada ya kurudia soma huu uzi mara kadhaa.....
Nimegundua kwamba ulipaswa uandike heading kwamba, UJINGA UMENIPONZA badadala ya WIVU UMENIPONZA.
Ila pole sana mkuu...
Nimtazamo tu
 
Kila siku nasema siku zote wenye mapenz ya dhati huishia maumivu mapenz ya dhati yanatoka moyoni mwaaliekuridhia huyo alikutamani kwa maslahi yake ila Mungu yupo atakusaidia mapenz ya dhati sio pesa karibu chama cha u single team

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mapenzi yakizidi hupunguza uwezo wa kufikiri ( quoted).....muulize hata mtoto wa miaka kumi atakupa jibu kua wewe ni makinikia ya akashia
 
Hapo unapoteza Muda wako Bure masikini ya Mungu.

Achana na huyo Mwanamke.
Sio type yako.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakupendi hata kidogo hata chembe tena hayuko na wewe tu...mwache atakutafuta....ila kwa upendo hana
 
Kwanza pole sana lakini pili ni muhimu kujifunza, humu huwa kuna visa kibao tu vinaletwa hasa MAHUSIANO NA SINGLE MAZAZ lkn kwakuwa nyie vijana wa leo na wanaume ambao masikio yameziwa kwa nta ya uchafu wa masikio yenu hamsikii hiyo ndiyo dawa yenu, Why dating a single mother? why cant you find a simple lady, young and lovely and enjoy the life with her? au ndo ule msemo single mazaz hawawez fanya ujinga wanajua maisha maana walishapigika? Acha hizo jombaaaa Mistresiiii mnajitia wenyewe KUBALI MATOKEO kisha move on with your life nothing else. ALL THE Best bro
 
Ningependelea JF kile kitufe cha like kiwe na options nying ka fb hv....hapa badala ya kubofya like nltakiwa nbofye sad...nkupe pole mkuu kwa kupoteza muda wako adhimu na pesa zako kwa mwanamke asokupenda na kukuheshimu...
Mungu kakuepusha na majanga....pambana uweke mambo yako sawa (financially).
Move on with ya life bro.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah aisee! Inavyoonekana wewe bado ni kijana.

Hakukupenda huyo ila hukumgundua mapema bila shaka ulimuingia kwa gia ya pesa,

ukajifanya unatoa sana hela akaona asipoteze nafasi alichokuwa anakifanya ni kukutumia tu.

Ndo akaamua kukupa hayo masharti na inawezekana hata papuchi ulikuwa unapata kwa ratiba.

Hakuwahi kukupenda ila ni kwa sababu ulijifanya una 'kiherehere' cha kutoa hela ndo akaamua akukubalie ili azile!

Na usingeyumba kiuchumi ungeipata pata!

Ni funzo hilo.

Thamani yako ni kubwa. Jithamini, mpotezee.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee wewe jamaa umenisikitisha sana huduma zote hizo kwa mtu alieachwa??. Halafu bado unajilaumu huo haukua wivu ni haki yako kujua alipo eeeh.. Angalia mbele.

Xmass Boy.
 
Duuh we kweli zwazwa lol...ila pole.

Kosa ulilofanya ni kumpenda sana mtu ambae hana mapenzi na wewe SIO WIVU,unatakiwa kuwa makini kuhakikisha kwamba hilo penzi lenu lipo kote (mutual) sio upande mmoja tu,sasa ww ukakurupuka kuinvest pesa nyingi na muda wako kwa hyo kiumbe asie kupenda alafu mbaya zaidi mpka sahiv ulikuwa hujui kwamba hana time na ww kabsa kwa kufikiri kakuacha sababu ya wivu haha...

Achana na hyo mwanamke mzee alafu usipende kuwanyenyekea sana hawa viumbe unakuwa kama fala bwana,we kusanya kilicho chako sepa zako na number yake futa kabsa,wanawake wako kibao sana tafuta bi dada alie tulia,anaekupenda na kukuheshimu, maisha yatakunyookea fresh tu!
 
suala la uchumi halijawahi muacha mtu salama. Wale ma don wa jk leo wanapigwa chini. Ngoja nijipange na ka vitz kangu nkamng'oe anti


sent from my iPhone 7s using JamiiForum mobile app.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…