Move on brother, maisha yenyewe mafupi kwanini uendelee kumng'ang'ania mtu asiyejua kuna kukosa, fanya mishe zako bila yeye unaweza ishi na unaweza fanya mambo makubwa zaidi,
Kwann uumize kichwa kwa ajili ya mtu wakati maisha haya yanazingua kichwa hadi mtu unatamani uyakimbie.
Love is all what we need!