Wito wangu kwa wana CCM

Wito wangu kwa wana CCM

Daisam

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2016
Posts
2,622
Reaction score
3,144
Naomba kuwaasa wana CCM wote Nchini.

Mkitaka kufeli kila kitu, endeleeni kujaribu kumdhihaki JPM

Watanzania hawa wa sasa si wajinga kama mnavyodhani. Wanajua kazi aliyoifanya JPM vizuri sana.

Viongozi wenu wasitafute kukubalika kwa kumdhihaki JPM. Kufanya hivyo ni sawa na kujaribu nguvu ya sumu kwa kuiramba.

Watanzania wa vyama vyote wanajua kuwa:-

*Wakati wa JPM umeme haujawahi kukatikakatika lakini sasa ni ovyo kabisa.

*Mfuko wa mbolea ulinunuliwa kwa sh.45000/50000 lakini sasa ni zaidi ya sh.120,000/-

*Bidhaa karibu zote zilinunuliwa kwa bei ndogo, lakini sasa zimepanda bei kwa zaidi ya 50%.
*
 
Naomba kuwaasa wana CCM wote Nchini. Mkitaka kufeli kila kitu, endeleeni kujaribu kumdhihaki JPM.
Watanzania hawa wa sasa si wajinga kama mnavyodhani. Wanajua kazi aliyoifanya JPM vizuri sana.
Viongozi wenu wasitafute kukubalika kwa kumdhihaki JPM. Kufanya hivyo ni sawa na kujaribu nguvu ya sumu kwa kuiramba.
Watanzania wa vyama vyote wanajua kuwa:-
*Wakati wa JPM umeme haujawahi kukatikakatika lakini sasa ni ovyo kabisa.
*Mfuko wa mbolea ulinunuliwa kwa sh.45000/50000 lakini sasa ni zaidi ya sh.120,000/-
*Bidhaa karibu zote zilinunuliwa kwa bei ndogo, lakini sasa zimepanda bei kwa zaidi ya 50%.
*


Hawa ni chawa wa kichina.!

Hawana huruma na waTanzania wanachojua ni matumbo yao.

Na linaloshangaza zaidi ni kwamba yule yule aliyekuwa msaidizi Mkuu wa JPM ameshika usukani ndio kwaanza anafumua meza na ameamua kuwaweka waharibifu sebuleni wamefunga mlango na funguo wametupa wanashibana humo ndani. Isitoshe ameamua kuwachekea kuwabembeleza eti

" Fanyeni kazi kwa weledi, mfanye kutoka moyoni! Tunatoa pesa za miradi fanyeni, kuleni kwa urefu wa kamba" !
kweli haya ni ya kuwaambia hao walioko hapo sebuleni!

Ifike mahali waTanzania waamue moja kuandamana na ninyi mapoliCcm make kimya watu watoe nyongo!

Sent from my SM-A115AZ using JamiiForums mobile app
 
To be honest sikuwahi mkubali magufuli hata cku moja ,nilimchukia Sana yule mzee

Na muda wote huo namchukia sikuwahi safiri kwa kipindi chake chote kwa maana sikukanyaga dar toka 2015 ila mwaka jana nilienda dar na baadhi ya mikoa aisee nilishtuka Sana kuiona dar ilivyobadirika ,yaan lami had uswahilini ,

Pale pale nilijutia Sana na kuomba msamaha kimoyo moyo kwa mzee magufuli ,yule dingi japo alikua katili ila alikua na mapenzi na hii nchi .
Angeongoza miaka 10 tu ilitosha Sana Tz kuwa viwango vingine .

Pia alinifikirisha snaa kuwa kumbe inawezekana na hapa ndipo nikapata majibu kuwa hii nchi ilikua inatafunwa na wanasiasa wachache Sana ,bahat mbaya washarud wale wale hapo lazima watu waisome no.

Swala la pili tukubali tukatae huyu mama hakubaliki kabisa mitaani ,na Hilo nime prove mwenyew kila Kona wanammiss magufuli ,nenda vijiweni ,nenda kwenye masoko ,daladala ,mama ntilie yaan wote wa kipato cha chini wanamdiss Sana huyu mama yetu ,sijawah kaa kijiwen nikakuta anasifiwa kwa lolote lile.

Zaid huyu mama alichofanikiwa amewateka watumishi wa umma kidogo kwa kuwapandisha madaraja na hao ndio wapo mitandaoni wakisifu na kuabudu na kueneza propaganda ili kuonyesha mama anakubalika ,wakat ukweli mitaan hakuna anayemwelewa.

Niamini Mimi 2025 huyu mama atapita kwa nguvu ya dola ila kwa kura za kwaida hizi hawez pata hata 30% ya kura zote ,na kungekuwa na tume huru na katiba iliyoshiba hata wanaccm 2025 wasingekubali asimame huyo mama maana wangezikwa rasmi na upinzani tena kwa aibu mbaya.

Ushauri wa bure ni kwamba mama yetu mpendwa samia elewa hukubaliki mtaani Zaid ya mitandaoni ,na hao watu wako wa karibu chunga Sana wanakupotosha ,hapa dawa ya kupendwa na wnaanchi fuata sela za magu changanya kidogo na zako achana na sela za msoga.
 
To be honest sikuwahi mkubali magufuli hata cku moja ,nilimchukia Sana yule mzee .
Na muda wote huo namchukia sikuwahi safiri kwa kipindi chake chote kwa maana sikukanyaga dar toka 2015 ila mwaka jana nilienda dar na baadhi ya mikoa aisee nilishtuka Sana kuiona dar ilivyobadirika ,yaan lami had uswahilini ,pale pale nilijutia Sana na kuomba msamaha kimoyo moyo kwa mzee magufuli ,yule dingi japo alikua katili ila alikua na mapenzi na hii nchi .
Angeongoza miaka 10 tu ilitosha Sana Tz kuwa viwango vingine .

Pia alinifikirisha snaa kuwa kumbe inawezekana na hapa ndipo nikapata majibu kuwa hii nchi ilikua inatafunwa na wanasiasa wachache Sana ,bahat mbaya washarud wale wale hapo lazima watu waisome no.

Swala la pili tukubali tukatae huyu mama hakubaliki kabisa mitaani ,na Hilo nime prove mwenyew kila Kona wanammiss magufuli ,nenda vijiweni ,nenda kwenye masoko ,daladala ,mama ntilie yaan wote wa kipato cha chini wanamdiss Sana huyu mama yetu ,sijawah kaa kijiwen nikakuta anasifiwa kwa lolote lile.

Zaid huyu mama alichofanikiwa amewateka watumishi wa umma kidogo kwa kuwapandisha madaraja na hao ndio wapo mitandaoni wakisifu na kuabudu na kueneza propaganda ili kuonyesha mama anakubalika ,wakat ukweli mitaan hakuna anayemwelewa.

Niamini Mimi 2025 huyu mama atapita kwa nguvu ya dola ila kwa kura za kwaida hizi hawez pata hata 30% ya kura zote ,na kungekuwa na tume huru na katiba iliyoshiba hata wanaccm 2025 wasingekubali asimame huyo mama maana wangezikwa rasmi na upinzani tena kwa aibu mbaya.

Ushauri wa bure ni kwamba mama yetu mpendwa samia elewa hukubaliki mtaani Zaid ya mitandaoni ,na hao watu wako wa karibu chunga Sana wanakupotosha ,hapa dawa ya kupendwa na wnaanchi fuata sela za magu changanya kidogo na zako achana na sela za msoga.
Ndugu yangu, Mbwe, nimekusikia na nimekuelewa. Ukweli ni kwamba, kama ulivyosema hata wewe, Mama hakubaliki hata kidogo, hasa huku mtaani.
Wana CCM wanashindwa kumwambia ukweli. Mama anaweza kuwa anakubalika kwa chini ya 20%.
 
Naona huyu Magufuli mmeshamfanya 'Untouchable', kwamba yeye hakuwahi kukosea katika utawala wake.

Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
No no,pamoja na mapungufu yote ya Magufuli hakika CCM msichukulie negative zake kuziongelea kwenye hotuba,kwani huku nje kati ya watu 10 wawili tu wapo kinyume na Magufuli.8 wapo naye.Juzi mmoja ni CCM kasema anakwenda kudekia sare za chama eti atakuwa anavalia wapi baada yakusikia asali kwa wote
 
Naomba kuwaasa wana CCM wote Nchini. Mkitaka kufeli kila kitu, endeleeni kujaribu kumdhihaki JPM.
Watanzania hawa wa sasa si wajinga kama mnavyodhani. Wanajua kazi aliyoifanya JPM vizuri sana.
Viongozi wenu wasitafute kukubalika kwa kumdhihaki JPM. Kufanya hivyo ni sawa na kujaribu nguvu ya sumu kwa kuiramba.
Watanzania wa vyama vyote wanajua kuwa:-
*Wakati wa JPM umeme haujawahi kukatikakatika lakini sasa ni ovyo kabisa.
*Mfuko wa mbolea ulinunuliwa kwa sh.45000/50000 lakini sasa ni zaidi ya sh.120,000/-
*Bidhaa karibu zote zilinunuliwa kwa bei ndogo, lakini sasa zimepanda bei kwa zaidi ya 50%.
*


Hv unawapenda kiasi hicho mpaka unawashauri…

Hata wakianza kumsifia kesho tunajua ni unafiki…kwa kifupi hatuwataki…kije chama kingine
 
Naomba kuwaasa wana CCM wote Nchini. Mkitaka kufeli kila kitu, endeleeni kujaribu kumdhihaki JPM.
Watanzania hawa wa sasa si wajinga kama mnavyodhani. Wanajua kazi aliyoifanya JPM vizuri sana.
Viongozi wenu wasitafute kukubalika kwa kumdhihaki JPM. Kufanya hivyo ni sawa na kujaribu nguvu ya sumu kwa kuiramba.
Watanzania wa vyama vyote wanajua kuwa:-
*Wakati wa JPM umeme haujawahi kukatikakatika lakini sasa ni ovyo kabisa.
*Mfuko wa mbolea ulinunuliwa kwa sh.45000/50000 lakini sasa ni zaidi ya sh.120,000/-
*Bidhaa karibu zote zilinunuliwa kwa bei ndogo, lakini sasa zimepanda bei kwa zaidi ya 50%.
*
Nyie ndio mlidhani watanzania ni wajinga. Ona hata viongozi waandamizi wanamdhalau Marehemu wakati wengine ni wabunge, mawaziri, wakuu wa mikoa na Wilaya.

Sisi ambao hatukupata chochote tutamkumbuka kwa lipi??
 
Magufuli alikuwa bora sana.

Hakuna sehemu ambayo hakuigusa. Alikuwa aina ya Rais Watanzania tulimtamani kwa miaka mingi.

RIP JPM
Sema uliyemtamani wewe kwa miaka mingi
Sisi tulitamani Samia Suluhu Hassan
 
Sema uliyemtamani wewe kwa miaka mingi
Sisi tulitamani Samia Suluhu Hassan
Watanzania tupo around 60 Million.

Kwenye hao kuna zaidi ya wawili wanaompenda na zaidi ya wawili wanaomchukia.

Nikisema tulimpenda nipo sahihi kama ambavyo wewe ukisema mlimpenda.

Issue ya matumizi ya umoja au wingi ni ndogo sana kuibua mjadala.

Jadili mada iliyopo kwa kuweka hoja not these pet issues.
 
Naomba kuwaasa wana CCM wote Nchini. Mkitaka kufeli kila kitu, endeleeni kujaribu kumdhihaki JPM.
Watanzania hawa wa sasa si wajinga kama mnavyodhani. Wanajua kazi aliyoifanya JPM vizuri sana.
Viongozi wenu wasitafute kukubalika kwa kumdhihaki JPM. Kufanya hivyo ni sawa na kujaribu nguvu ya sumu kwa kuiramba.
Watanzania wa vyama vyote wanajua kuwa:-
*Wakati wa JPM umeme haujawahi kukatikakatika lakini sasa ni ovyo kabisa.
*Mfuko wa mbolea ulinunuliwa kwa sh.45000/50000 lakini sasa ni zaidi ya sh.120,000/-
*Bidhaa karibu zote zilinunuliwa kwa bei ndogo, lakini sasa zimepanda bei kwa zaidi ya 50%.
*

Wananchi hatukumpa kura Magufuli, bali alinajisi uchaguzi. Kama alitaka apime kukubalika kwake, basi asingepika idadi ya wapiga kura na kunajisi uchaguzi. Wakati wa Magufuli ndio box la kura limepuuzwa kupita kiasi, na hatutegemei tena wapiga kura kujitokeza kama awali.
 
Naomba kuwaasa wana CCM wote Nchini. Mkitaka kufeli kila kitu, endeleeni kujaribu kumdhihaki JPM.
Watanzania hawa wa sasa si wajinga kama mnavyodhani. Wanajua kazi aliyoifanya JPM vizuri sana.
Viongozi wenu wasitafute kukubalika kwa kumdhihaki JPM. Kufanya hivyo ni sawa na kujaribu nguvu ya sumu kwa kuiramba.
Watanzania wa vyama vyote wanajua kuwa:-
*Wakati wa JPM umeme haujawahi kukatikakatika lakini sasa ni ovyo kabisa.
*Mfuko wa mbolea ulinunuliwa kwa sh.45000/50000 lakini sasa ni zaidi ya sh.120,000/-
*Bidhaa karibu zote zilinunuliwa kwa bei ndogo, lakini sasa zimepanda bei kwa zaidi ya 50%.
*
JPM alikuwa mjinga tuu Kama wewe hana lolote la maana zaidi kukumbukwa kwa mauaji, watu wasio julikana, utekaji, upotevu wa Watu na umaskini. Kama Kuna maendeleo aliyafanya hakutoa pesa toka kwa mama au baba yake bali ni pesa zetu walipa kodi halali hapa nchini.
 
Ndugu yangu, Mbwe, nimekusikia na nimekuelewa. Ukweli ni kwamba, kama ulivyosema hata wewe, Mama hakubaliki hata kidogo, hasa huku mtaani.
Wana CCM wanashindwa kumwambia ukweli. Mama anaweza kuwa anakubalika kwa chini ya 20%.

Mtaa upi, kama ni kutokukubalika huyu mama ana afadhali ukilinganisha na Magufuli, ila hofu ilitawala kipindi cha Magufuli hivyo mkadhani anakubalika sana. Kipimo halisi cha kukubalika kwa Magufuli ingekuwa ni kuheshimu box la kura, kitu ambacho hakukubali. Na kwenye chaguzi wapiga kura walipungua kupita maelezo. Msidhani mtatupotosha kirahisi.
 
JPM alikuwa mjinga tuu Kama wewe hana lolote la maana zaidi kukumbukwa kwa mauaji, watu wasio julikana, utekaji, upotevu wa Watu na umaskini. Kama Kuna maendeleo aliyafanya hakutoa pesa toka kwa mama au baba yake bali ni pesa zetu walipa kodi halali hapa nchini.
Watu watajitahidi kujilazimisha kumkataa JPM weee, lakini kuna watamkubali.
Hoja msingi ni kwamba, JPM alizuia uhuni wa kupandisha bei bila utaratibu, lakini sasa bei za vitu zimepanda mara mbili hadi mara tatu zaidi.
Ajali karibu kila kukicha.
Umeme kukatikakatika sasa imekuwa kawaida.
Je, hayo ni ya uongo?
Kumbuka kuwa, maumivu hayo yanayotokana na ulegevu tu wa viongozi yanawagusa Wananchi wote tena wa vyama vyote.
Je, hata kwa hayo tusimkumbuke JPM?
 
Hv unawapenda kiasi hicho mpaka unawashauri…

Hata wakianza kumsifia kesho tunajua ni unafiki…kwa kifupi hatuwataki…kije chama kingine
Tatizo sasa hakuna chama kingine chenye hadhi ya kukabidhiwa kuongoza nchi. Ni afadhali ccm waielewe hali halisi ilivyo huku mtaani, wamwambie mama apishe ili waweke mtu mwingine anayeweza kukubalika na kufanya yale wananchi wanataka.
 
Back
Top Bottom