wakuu,
kutokana na jinsi uchaguzi 2010 ulivyopelekea kutokea kwa matukio ya arusha; ambayo pia yanaakisi hali halisi ya yanayojiri nchini tanzania; ninayo heshima kupendekeza kuanzishwa kwa jukwaa la siasa za arusha kwa mod(s) na kuomba kuungwa mikono na wakuu wote weledi na wenye mapenzi mema na nchi yetu.
nawasilisha!