Wito kwa Tulia Ackson kujiuzulu kabla ya kung'olewa kwa nguvu

makoye2009

JF-Expert Member
Jun 12, 2009
2,638
1,218
Wana JF,

Kuna habari za kuaminika kutoka vyanzo vya ndani ya Bunge kwamba huyu Mama Tulia Ackson Naibu wa Spika anatafakari kujiuzulu mapema kabla ya kupigiwa kura na Bunge la JMT ya kutokuwa na imani naye.
Habari kutoka kwa watu walio karibu na mama asiye-TULIA zinanyetisha kwamba baada ya kutafakari na kupewa ushauri na watu wake wa karibu yuko kwenye hatua za kutangaza kujiuzulu. Hii ni kwasababu kitendo cha kutaka kupigiwa kura ya kumng'oa kutokana na Wabunge wote wa upinzani na wachache wa CCM kuona umuhimu wa kufanya hivo.

Mmoja wa washauri wake wa karibu amesema kuwa itakuwa ni aibu sana kwa Tulia Ackson kama ataondolewa kwenye Unaibu spika kwa kupigiwa kura na itakuwa ni historia na mara ya kwanza kutokea tangu Bunge la Tanganyika na baadaye Tanzania lianze. Uwezekano wa kupigiwa kura nyingi ya kutokuwa na imani naye unawezekana kuwepo kutokana na baadhi ya Wabunge wa CCM kuwa na manung'uniko ya chinichini kuwa huyu mama hatakiwa na aliingia Bungeni kwa kulazimisha kupitia uteuzi wa JPM huku akiwa hana sifa kabisa ya kuwa Mbunge, N/spika au Spika kwa vile hana historia wala hajawahi kuwa mwana chama wa CCM wala Mkuu wa Wilaya au Mkoa na hivo kuonekana kupwaya na kuyumba sana anapokuwa kwenye kiti.

Tangu mama huyu aanze kuongoza Bunge hili wakati Spika Ndugai hayupo kumekuwa kukitokea vurugu na kutoeleawana ndani ya Bunge kati yake na Wapinzani na huku akionyesha chuki za waziwazi kanisa kuwa hawataki Wapinzani kitu ambacho si sahihi kwenye taratibu za Mabunge yenye sera za vyama vingi.

Kuna matukio ambayo hata Wabunge wenzake wa CCM wameona hayawafurahishi kama vile kujichukulia maamuzi peke yake bila ushauri wa Spika na Bunge lote kwa ujumla. Wabunge wa CCM wanasema kitendo cha Tulia Ackson kuchukua fedha ya Bunge kiasi cha 6 Bilioni na kuzirudisha Hazina kupitia kwa JPM kimewakera Wabunge wengi wa CCM akiwemo Spika Job Ndungai mwenyewe na kuapa kumng'oa haja-TULIA. Kitendo hicho kimewasababishia Wabunge wengi matatizo kukosa au kutopata posho zao kwa wakati kwasababu ya unafiki, ukimbelembele wa kujikomba kwa Raisi JPM.

Hivo wame apa kwamba kama hatajiuzulu kuepuka aibu ya kung'olewa kwa nguvu basi wataungana na wenzao wa UKAWA kumshikisha adabu bi Tulia.
 
Wana JF,

Kuna habari za kuaminika kutoka vyanzo vya ndani ya Bunge kwamba huyu Mama Tulia Ackson Naibu wa Spika anatafakari kujiuzulu mapema kabla ya kupigiwa kura na Bunge la JMT ya kutokuwa na imani naye.
Habari kutoka kwa watu walio karibu na mama asiye-TULIA zinanyetisha kwamba baada ya kutafakari na kupewa ushauri na watu wake wa karibu yuko kwenye hatua za kutangaza kujiuzulu. Hii ni kwasababu kitendo cha kutaka kupigiwa kura ya kumng'oa kutokana na Wabunge wote wa upinzani na wachache wa CCM kuona umuhimu wa kufanya hivo.

Mmoja wa washauri wake wa karibu amesema kuwa itakuwa ni aibu sana kwa Tulia Ackson kama ataondolewa kwenye Unaibu spika kwa kupigiwa kura na itakuwa ni historia na mara ya kwanza kutokea tangu Bunge la Tanganyika na baadaye Tanzania lianze. Uwezekano wa kupigiwa kura nyingi ya kutokuwa na imani naye unawezekana kuwepo kutokana na baadhi ya Wabunge wa CCM kuwa na manung'uniko ya chinichini kuwa huyu mama hatakiwa na aliingia Bungeni kwa kulazimisha kupitia uteuzi wa JPM huku akiwa hana sifa kabisa ya kuwa Mbunge, N/spika au Spika kwa vile hana historia wala hajawahi kuwa mwana chama wa CCM wala Mkuu wa Wilaya au Mkoa na hivo kuonekana kupwaya na kuyumba sana anapokuwa kwenye kiti.

Tangu mama huyu aanze kuongoza Bunge hili wakati Spika Ndugai hayupo kumekuwa kukitokea vurugu na kutoeleawana ndani ya Bunge kati yake na Wapinzani na huku akionyesha chuki za waziwazi kanisa kuwa hawataki Wapinzani kitu ambacho si sahihi kwenye taratibu za Mabunge yenye sera za vyama vingi.

Kuna matukio ambayo hata Wabunge wenzake wa CCM wameona hayawafurahishi kama vile kujichukulia maamuzi peke yake bila ushauri wa Spika na Bunge lote kwa ujumla. Wabunge wa CCM wanasema kitendo cha Tulia Ackson kuchukua fedha ya Bunge kiasi cha 6 Bilioni na kuzirudisha Hazina kupitia kwa JPM kimewakera Wabunge wengi wa CCM akiwemo Spika Job Ndungai mwenyewe na kuapa kumng'oa haja-TULIA. Kitendo hicho kimewasababishia Wabunge wengi matatizo kukosa au kutopata posho zao kwa wakati kwasababu ya unafiki, ukimbelembele wa kujikomba kwa Raisi JPM.

Hivo wame apa kwamba kama hatajiuzulu kuepuka aibu ya kung'olewa kwa nguvu basi wataungana na wenzao wa UKAWA kumshikisha adabu bi Tulia.

Source: Bunge TV.
Lini wabunge wa CCM na UPINZANI...wakawa upande mmoja kwenye maslahi mapana ya kitaifa! labda kwenye mambo ya Posho na maslahi binafsi.... We support you TULIA ACKSON! keep it up dada!
 
Tatizo ile kamati ya maadili ndiyo kikwazo. Inaongozwa na kapteni Mkuchika sasa unategemea nini hapo?
 
Je msukumo unaotiwa na wapinzani utatosha kumwondoa au kutakuwepo na utafutwaji wa uungaji mkono msukumo huu kutoka CCM? kama ndio CCM wapo tayari kuungana ma upinzani ili kumwajibisha Tulia?
 
e msukumo unaotiwa na wapinzani utatosha kumwondoa au kutakuwepo na utafutwaji wa uungaji mkono msukumo huu kutoka CCM?
 
Nasikia Col. Abdulrahman Kinana alikuwa Dodoma kuongea na Wabunge wa CCM, je unadhani hilo alisahau kuliongelea?
 
Ni jambo gumu kidogo!CCM Wanaogopa Kujiunga na Ukawa Kwani The End Result Itawapaisha Ukawa Kuliko C.C.M,Kingine Huyu Mama Anawasaidia Sana C.C.M Kwa Kuwavuruga Ukawa Mpaka Washindwe Kukocentrate na Ujengaji wa Hoja Makini...Naomba Niweke Akiba ya Maneno!
 
je msukumo unaotiwa na wapinzani utatosha kumwondoa au kutakuwepo na utafutwaji wa uungaji mkono msukumo huu kutoka ccm? kama ndio ccm wapo tayari kuungana ma upinzani ili kumwajibisha Tulia?

Hizi ni habari za kutoka ndani ya Bunge lenyewe. Huyu Tulia hata CCM wenyewe wesha mchoka.
Wabunge kwa sasa posho zinapatikana kwa kusuasua na kukopesha kila siku kisa Mama Tulia karudisha Bilioni 6 kwa JPM ati kabana matumizi!!!!!!Hiyo 6B yenyewe aliirudisha hata Bunge halijaanza vikao ina maana ni fedha iliyokuwa imetengwa tangu mwaka jana kwa ajili ya shughuli za Bunge. Yeye kaingia kakuta fedha ipo kwa upuuzi wa kutaka kujikomba akamega hiyo 6 B na kuipeleka Ikulu wakishirikina na Katibu wa Bunge Bwana Thomas Kashilila.

Mnaopinga kuwa hili haliwezekani basi subirini siku ya kupigiwa kura muone kivumbi chake. Kama hatajiuzulu mapema Bunge linaenda kumtumbua Bi Tulia Ackson live na mchana kweupe.
 
Nasikia Col. Abdulrahman Kinana alikuwa Dodoma kuongea na Wabunge wa CCM, je unadhani hilo alisahau kuliongelea?
Ndilo hasa lililompeleka, na kama alivyoni dokeza Mbunge mmoja wa CCM ni kuwa Kinana amelikoroga zaidi kwani anataka kuwafanya wabunge wa CCM waonekane mbele ya wananchi kuwa hawana utashi bali wanaendeshwa kama gari bovu kwa kupokea amri tuu.
Kitendo cha Hajatulia Mixon katika maamuzi ya wale watoto wa UDOM ambao walidhalilika na wengine wa kike kufanyiwa vitendo viovu hakita mponya labda ilazimishwe kura ya wazi kinyume na utaratibu.
Akijiuzulu atakwepa aibu, lakini akijifanya kukomaa ataaibika ndani ya siasa
 
Hizi ni habari za kutoka ndani ya Bunge lenyewe. Huyu Tulia hata CCM wenyewe wesha mchoka.
Wabunge kwa sasa posho zinapatikana kwa kusuasua na kukopesha kila siku kisa Mama Tulia karudisha Bilioni 6 kwa JPM ati kabana matumizi!!!!!!Hiyo 6B yenyewe aliirudisha hata Bunge halijaanza vikao ina maana ni fedha iliyokuwa imetengwa tangu mwaka jana kwa ajili ya shughuli za Bunge. Yeye kaingia kakuta fedha ipo kwa upuuzi wa kutaka kujikomba akamega hiyo 6 B na kuipeleka Ikulu wakishirikina na Katibu wa Bunge Bwana Thomas Kashilila.

Mnaopinga kuwa hili haliwezekani basi subirini siku ya kupigiwa kura muone kivumbi chake. Kama hatajiuzulu mapema Bunge linaenda kumtumbua Bi Tulia Ackson live na mchana kweupe.
ya ndio au ya siri?
 
Wana JF,

Kuna habari za kuaminika kutoka vyanzo vya ndani ya Bunge kwamba huyu Mama Tulia Ackson Naibu wa Spika anatafakari kujiuzulu mapema kabla ya kupigiwa kura na Bunge la JMT ya kutokuwa na imani naye.
Habari kutoka kwa watu walio karibu na mama asiye-TULIA zinanyetisha kwamba baada ya kutafakari na kupewa ushauri na watu wake wa karibu yuko kwenye hatua za kutangaza kujiuzulu. Hii ni kwasababu kitendo cha kutaka kupigiwa kura ya kumng'oa kutokana na Wabunge wote wa upinzani na wachache wa CCM kuona umuhimu wa kufanya hivo.

Mmoja wa washauri wake wa karibu amesema kuwa itakuwa ni aibu sana kwa Tulia Ackson kama ataondolewa kwenye Unaibu spika kwa kupigiwa kura na itakuwa ni historia na mara ya kwanza kutokea tangu Bunge la Tanganyika na baadaye Tanzania lianze. Uwezekano wa kupigiwa kura nyingi ya kutokuwa na imani naye unawezekana kuwepo kutokana na baadhi ya Wabunge wa CCM kuwa na manung'uniko ya chinichini kuwa huyu mama hatakiwa na aliingia Bungeni kwa kulazimisha kupitia uteuzi wa JPM huku akiwa hana sifa kabisa ya kuwa Mbunge, N/spika au Spika kwa vile hana historia wala hajawahi kuwa mwana chama wa CCM wala Mkuu wa Wilaya au Mkoa na hivo kuonekana kupwaya na kuyumba sana anapokuwa kwenye kiti.

Tangu mama huyu aanze kuongoza Bunge hili wakati Spika Ndugai hayupo kumekuwa kukitokea vurugu na kutoeleawana ndani ya Bunge kati yake na Wapinzani na huku akionyesha chuki za waziwazi kanisa kuwa hawataki Wapinzani kitu ambacho si sahihi kwenye taratibu za Mabunge yenye sera za vyama vingi.

Kuna matukio ambayo hata Wabunge wenzake wa CCM wameona hayawafurahishi kama vile kujichukulia maamuzi peke yake bila ushauri wa Spika na Bunge lote kwa ujumla. Wabunge wa CCM wanasema kitendo cha Tulia Ackson kuchukua fedha ya Bunge kiasi cha 6 Bilioni na kuzirudisha Hazina kupitia kwa JPM kimewakera Wabunge wengi wa CCM akiwemo Spika Job Ndungai mwenyewe na kuapa kumng'oa haja-TULIA. Kitendo hicho kimewasababishia Wabunge wengi matatizo kukosa au kutopata posho zao kwa wakati kwasababu ya unafiki, ukimbelembele wa kujikomba kwa Raisi JPM.

Hivo wame apa kwamba kama hatajiuzulu kuepuka aibu ya kung'olewa kwa nguvu basi wataungana na wenzao wa UKAWA kumshikisha adabu bi Tulia.
Atang'olewa na nani??
 
Kwa kuwa waamuzi waliobaki (kamati ya maadili) wanaweza kuwa kikwazo kwa kuhofia baadhi ya wabunge wa CCM kuunga mkono, basi hili jambo litaendelea kuwa gumu.
Ninachoweza sema ni kwamba huyu mama atakapokoswa na mtego huu uliombele yake atatakiwa kujirekebisha.
Na ajifunze zaidi taratibu za uendeshaji wa Bunge.

Hata Ndugai kipindi kilichopita alikuwa akilalamikiwa kwa baadhi yamambo japo huyu mama kazidi.
 
Back
Top Bottom