Yaani upo bomba asilimia 100 na upo true asilimia 101 yaani we acha tu siku nyingine unasema kwakwara hawa majitu gani haya hayana hata utaratibu wameguka mbuni wanaficha vichwa kwenye mchanga wakati lijimwili lote lipo nje ha ha ha ha trueeeeeeeeeeeeeeeeeChupaku,
It's pity that the technology is not used the way it should.
Our Embassy would definitely not use encryption (if the main government does not, how are they going to be using it?) to communicate with Tanzania. Their communications are open to eavesdropping to whoever cares to listen.
I saw an Ad for (additional) Internet service for American Embassy in Dar, and one of the requirements is for them to be able handle the internet packets the way they want -- Encryption and no 'man-in-the-middle'.
Hebu angalia hii Tanzania Government Directory 2009. Utaona jinsi wizara na idara za serikali zinavyopitishia information zao ZOTE sekta binafsi.
Mlenge
Josh, hebu tizama anuani hii hapa chini:
MINISTRY OF DEFENCE AND NATIONAL SERVICE
Magore Street; Telephone:022 222155/9; Fax Na: 022 2152699;
Email: psps@cats-net.com; Website http://www.modas.go.tz
P.O. Box 9544 Dar es Salaam. TANZANIA.
Give me a break.
Bob Gates wa Marekani imeili zake ziwe zinahostiwa na Verizon Wireless?
Wizara ya Ulinzi? Hawalindi email zao wenyewe? Do want to say hawana hata robo ya siri moja wanayowasiliana kwa imeili?
Mlenge
Wanazo kibao na hata wakiambua kusensory email zenu wanaweza kufanya hivyo, ila kwa kibali maalumu kama ni ulinzi, Mimi wasiwasi wangu kuwa ni vigumu sana kwa watu kama sisi Watanzania kujua na kuona kuwa ni kitu gani cha kutapping au kuacha au ndio watafanya kama vile alivyotaka kumfanya Dr.Slaa maana huwa napata shida, Ni kitu kizuri ila ni kuwa na makini na specific kwa kila jambo la kufanyia tapping kama wewe unavyosema mkuuJosh, hebu tizama anuani hii hapa chini:
MINISTRY OF DEFENCE AND NATIONAL SERVICE
Magore Street; Telephone:022 222155/9; Fax Na: 022 2152699;
Email: psps@cats-net.com; Website http://www.modas.go.tz
P.O. Box 9544 Dar es Salaam. TANZANIA.
Give me a break.
Bob Gates wa Marekani imeili zake ziwe zinahostiwa na Verizon Wireless?
Wizara ya Ulinzi? Hawalindi email zao wenyewe? Do want to say hawana hata robo ya siri moja wanayowasiliana kwa imeili?
Mlenge
Jaribu kusoma Tanzania privacy act ndio maana hata leo kunakuwa na shida sana hata kufanya kazi za wasanii wetu kuibiwa, Sisi bado sana labda kuhusu ulinzi wa Nchi kimataifa na mambo yote haya mfumo wetu bado sanaIs Tanzania's intelligence apparatus sophisticated enough to have been using modern wiretapping (apart from bugging telephone lines at the Exchanges)?
If they use some form of wiretapping, do they need to get permission from civil authority in some circumstances, or all the time whatever they do is in the "nation's security interests"?
Mlenge