tamimusalim
JF-Expert Member
- Jun 17, 2014
- 1,822
- 499
View attachment 193044 pichani ni mtaa ninapoishi hapa arusha ,kwa sasa wingu zito na mvua imeanza kunyesha mvua ya nguvu,hii ndio arusha karibuni arusha
View attachment 193044 pichani ni mtaa ninapoishi hapa arusha ,kwa sasa wingu zito na mvua imeanza kunyesha mvua ya nguvu,hii ndio arusha karibuni arusha
arusha hiyo unayoijua mkuu,huku mvua tu ,huo mtaa wetu ninapoishiView attachment 193086Mkuu vipi?arusha ipi?
kweli mkuu nilikosea nilekebishie maana mimi siwezi mkuuangalia heading ya habari yako halafu u edit. napita tarudi baadae
teh! Teh! Teh! Mkuu hii usa river mkuuHizi pande inaonekana ni maeneo ya Ngaramtoni maana hata Eria za TV ni zile za kijanja zinazotengenezwa na TubeLight!
![]()
View attachment 193044 pichani ni mtaa ninapoishi hapa arusha ,kwa sasa wingu zito na mvua imeanza kunyesha mvua ya nguvu,hii ndio arusha karibuni arusha
![]()
Hizi pande inaonekana ni maeneo ya Ngaramtoni maana hata Eria za TV ni zile za kijanja zinazotengenezwa na TubeLight!
Asante jirani lakini mimi nitakua napigika si unajua tena Unga robo na Xmass & new 2015 is around the Conner!jirani za siku......?.......hatuonani........
kesho tunaenda kutembea tembo.........?
Asante jirani lakini mimi nitakua napigika si unajua tena Unga robo na Xmass & new 2015 is around the Conner!