Vuguvugu la maandamano ya kupinga kuendelea kwa bunge la katiba sasa linashika kasi kwenye jiji la Sugu, na habari za kuaminika zinasema mji wa Tunduma pia maandalizi ya mandamano na migomo imekamilika.
Vuguvugu la maandamano ya kupinga kuendelea kwa bunge la katiba sasa linashika kasi kwenye jiji la Sugu, na habari za kuaminika zinasema mji wa Tunduma pia maandalizi ya mandamano na migomo imekamilika.
Vuguvugu la maandamano ya kupinga kuendelea kwa bunge la katiba sasa linashika kasi kwenye jiji la Sugu, na habari za kuaminika zinasema mji wa Tunduma pia maandalizi ya mandamano na migomo imekamilika.
Upuuzi ni upi?kupigania haki kwa ajili ya watoto wetu na vizazi vijavyo si upuuzi,mpuuzi ni wewe unaejua ukweli ukajifanya huuoni kisa ni mnufaikaji au unatafuta kunufaika na mfumo wa kinyonyaji na kandamizi.VIVA CDM,VIVA WATANZANIA.