Windows phone vs android niende wapi?

Jaman mlioko dar lumia zilizo tangazwa hapo juz 950, 950xl na 550 zmeanza kuingia naitafta lumia 550 na bei yake imeanzia ngapi.... Maana hzo zngne najua siwez gusa bei....
 
Jaman mlioko dar lumia zilizo tangazwa hapo juz 950, 950xl na 550 zmeanza kuingia naitafta lumia 550 na bei yake imeanzia ngapi.... Maana hzo zngne najua siwez gusa bei....

hazijaanza kuuzwa hata huko nje bado, zipo lumia za kila budget as cheap as 150,000 hivyo hela yako tu na vitu unavyotaka simu ifanye
 
Window ndio kila kitu nazielewa sana na je nini kazi ya developer option kwenye window ten nimeiona upande wa setting

Lumia 950 using mtalk
 
Window ndio kila kitu nazielewa sana na je nini kazi ya developer option kwenye window ten nimeiona upande wa setting

Lumia 950 using mtalk
developer ni mtu anaetengeneza application unazodownload store, ukieka on developer option inamaana unapewa ruhusa ya kutest application ulizotengeneza. ila kwa windows phone watu hutumia mwanya huo ku pirate decrypted apps na games kwa kutumia bure bila kulipia
 
Funguka kidogo niweze kuijua hiyo trick ili niweze kufaidi

Lumia 950 using mtalk
 
Mkuu naifikia mpaka site ila kwa hatua ya mwisho nashindwa kabisa kuziona apps

Lumia 950 using mtalk
 
Mkuu naifikia mpaka site ila kwa hatua ya mwisho nashindwa kabisa kuziona apps

Lumia 950 using mtalk
huzikuti page ile ile unatumia menu za juu angalia utaona games apps etc kwenye header ya website
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…