htc lates ndio ipi? s6 edge ndio hio hio s6, ina specs kubwa zaidi kuliko s5 na s4 kama vile processor yenye nguvu zaidi, internal storage yenye kasi zaidi, display nzuri zaidi nk
Jaman mlioko dar lumia zilizo tangazwa hapo juz 950, 950xl na 550 zmeanza kuingia naitafta lumia 550 na bei yake imeanzia ngapi.... Maana hzo zngne najua siwez gusa bei....
Jaman mlioko dar lumia zilizo tangazwa hapo juz 950, 950xl na 550 zmeanza kuingia naitafta lumia 550 na bei yake imeanzia ngapi.... Maana hzo zngne najua siwez gusa bei....
developer ni mtu anaetengeneza application unazodownload store, ukieka on developer option inamaana unapewa ruhusa ya kutest application ulizotengeneza. ila kwa windows phone watu hutumia mwanya huo ku pirate decrypted apps na games kwa kutumia bure bila kulipia
developer ni mtu anaetengeneza application unazodownload store, ukieka on developer option inamaana unapewa ruhusa ya kutest application ulizotengeneza. ila kwa windows phone watu hutumia mwanya huo ku pirate decrypted apps na games kwa kutumia bure bila kulipia