Habari wakuu,
Nina desktop yangu aina ya Asus inasumbua.
jana wakati namaliza shughuli zangu, niliacha wazi usiku kucha. Leo naiamsha naikuta screen imekwenda kwenye bios moja kwa moja. Sijaelewa nini kimetokea, nime click save and exit kwa bahati mbaya ikarudi tena. Kila nikifanya hio process inarudi hapo hapo. Nimejaribu kwenda kwenye boot settings nimechange, imeboot hata window haijaload inanambia kuwa recent software or hardware change might cause the issue. Cha kushangaza sasa sijadownload chochote siku nzima wala sijachomeka any device. Nimefanya research Asus wanadai kuwa wanakuwa na hidden partition kwenye pc zao in case main storage iki corrupt. nimejaribu lakini still nothng same erro.
Sasa nimedownload windows creation tool from microsoft. Nimefata hio process na kutengeza windows irun from flash. Nimechomeka flash disk yangu matokeo yake imenipa moyo mpaka kwenye logo ya windows, ikaondoka baada ya hapo hakuna kitu for hours.
wataalamu naomba msaada hapa nini cha kufanya. Hii hard drive kwanza ina alot of important information sitaki kuzipoteza.
Msaada wenu.
Note: Pc ilikuwa ina run windows 10 pro, nimetumia hio creation tool from microsoft kwenye pc nyingine ambayo ni same model na sem os version.
CHIEF MKWAWA na wengineo msaada tutani plz
Nina desktop yangu aina ya Asus inasumbua.
jana wakati namaliza shughuli zangu, niliacha wazi usiku kucha. Leo naiamsha naikuta screen imekwenda kwenye bios moja kwa moja. Sijaelewa nini kimetokea, nime click save and exit kwa bahati mbaya ikarudi tena. Kila nikifanya hio process inarudi hapo hapo. Nimejaribu kwenda kwenye boot settings nimechange, imeboot hata window haijaload inanambia kuwa recent software or hardware change might cause the issue. Cha kushangaza sasa sijadownload chochote siku nzima wala sijachomeka any device. Nimefanya research Asus wanadai kuwa wanakuwa na hidden partition kwenye pc zao in case main storage iki corrupt. nimejaribu lakini still nothng same erro.
Sasa nimedownload windows creation tool from microsoft. Nimefata hio process na kutengeza windows irun from flash. Nimechomeka flash disk yangu matokeo yake imenipa moyo mpaka kwenye logo ya windows, ikaondoka baada ya hapo hakuna kitu for hours.
wataalamu naomba msaada hapa nini cha kufanya. Hii hard drive kwanza ina alot of important information sitaki kuzipoteza.
Msaada wenu.
Note: Pc ilikuwa ina run windows 10 pro, nimetumia hio creation tool from microsoft kwenye pc nyingine ambayo ni same model na sem os version.
CHIEF MKWAWA na wengineo msaada tutani plz