Tumia hivyohivyo. Mbona mi natumia Windows 95 na sioni kero yoyote?
duuuuuh kitambo sana.... hiyo ni laptop aina hani na model gani?, bila shaka hata kama ni ya zamani basi itakuwa inasupport XP angalau(so kama vp upgrade kwenda XP kama hiyo laptop haisupport OS mpya)
Tumia hivyohivyo. Mbona mi natumia Windows 95 na sioni kero yoyote?