Nilikuwa niko full mzee naona kituoni wangeona vitambulisho vyangu wangecheka sana, mie pale niliogopa fedhea kutoka kwa walimu wanawake, si unajua wenzetu kwa kukimbilia kusema wamedharauliwa.umetisha mkuu, vipi wande ku-arrest kwa kuishi nchini bila kibali
Kwahiyo wakongoman KG hawaulizwi passport??au kwakuwa kunawakimbizi wengi ila siwanatakiwa wakae kambini kwenda mjini kwa kibali maalumu??hapo sijakuelewa!!Sio jokes.....! Madamex ni true story!
Wakongo ni wengi, isitoshe wengi wao wana permit za kuishi nchini, askari akaona atajisumbua bure. alafu nilikuwa naongea kwa kujihamini.Kwahiyo wakongoman KG hawaulizwi passport??au kwakuwa kunawakimbizi wengi ila siwanatakiwa wakae kambini kwenda mjini kwa kibali maalumu??hapo sijakuelewa!!