Acha unafiki basi, unawezaje kusema Tanganyika ilikufa angali Zanzibar bado ipo na inajitambulisha kwa utaifa wake. Yaani Zanzibar iliyoungana na Tanganyika kuipata Tanzania iwepo ila Tanganyika useme imekufa.
Labda kama umekufa wewe, sawa.
Acha unafiki basi, unawezaje kusema Tanganyika ilikufa angali Zanzibar bado ipo na inajitambulisha kwa utaifa wake. Yaani Zanzibar iliyoungana na Tanganyika kuipata Tanzania iwepo ila Tanganyika useme imekufa.
Labda kama umekufa wewe, sawa.