Kaimba usa lakini kaka yake jermane jackson ndie alianza kuimba na kuweka maneno ya kiswahili inaitwa COME TO ME na maneno ya kiswahili NJOO KWANGU
Pamoja na mafanikio makubwa aliyoyapata michael kutokana na juhudi na misingi aliyojengewa na familia yake kimuziki ila ki ukweli huyu mzee Quincy jones alikuwa ni mwalimu mwenye kipaji cha aina yake,alichangia sana kumwinua michael,na michael alipoamua kumtema tu mambo yakaanza kumwendea kombo.
Sidhani,Hivi huyu Quincy Jones si ndo Director wa Cartoon za Tom n Jerry kama sikosei!!?