N'gwanantugwa
JF-Expert Member
- Apr 25, 2015
- 347
- 343
Najua wengi mnanyimbo za CCM mnazozipenda.Kwangu mimi wimbo bora kabisa kwa Mwaka huu wa Uchaguzi ni
Tusikosee umeimbwa na MdaiJasho.
Ni wimbo ambao uko tofauti sana na nyimbo zingine maana jamaa kaelezea Mazuri ya awam hii kwa upekee wake.
Kagusia Vitu sensitive sana.
Hafahamiki sana ila anashangaza sana kwa harakati zake
Hapa nimecopy alichoandikwa Twitter akaambatanisha na Link ya wimbo wake.
Samahani Ndugu zangu.
"Wimbo wangu nahamasisha watu wasikosee katika uchaguzi wamchague JPM.Ntafurahi sana kama wimbo huu utamfikia @MagufuliJP @DBiteko @hpolepole ,ndugu Bashiru,@MsigwaGerson na wanaCCM wote. Sikilize kisha sambaza
Asante kwa ushirikiano
Tusikosee-Sahani MdaiJasho(audio)
Wewe wimbo gani mwaka huu umekukisha kabisa.Taja wimbo unaoukubali tuchambue maudhui kulinganisha na naoukubali mimi.
Mode;tafadhali msiunganishe uzi...huu niwakiuchambuzi zaidi
Tusikosee umeimbwa na MdaiJasho.
Ni wimbo ambao uko tofauti sana na nyimbo zingine maana jamaa kaelezea Mazuri ya awam hii kwa upekee wake.
Kagusia Vitu sensitive sana.
Hafahamiki sana ila anashangaza sana kwa harakati zake
Hapa nimecopy alichoandikwa Twitter akaambatanisha na Link ya wimbo wake.
Samahani Ndugu zangu.
"Wimbo wangu nahamasisha watu wasikosee katika uchaguzi wamchague JPM.Ntafurahi sana kama wimbo huu utamfikia @MagufuliJP @DBiteko @hpolepole ,ndugu Bashiru,@MsigwaGerson na wanaCCM wote. Sikilize kisha sambaza
Asante kwa ushirikiano
Tusikosee-Sahani MdaiJasho(audio)
Wewe wimbo gani mwaka huu umekukisha kabisa.Taja wimbo unaoukubali tuchambue maudhui kulinganisha na naoukubali mimi.
Mode;tafadhali msiunganishe uzi...huu niwakiuchambuzi zaidi