Wimbi la wakimbizi kuelekea Ulaya

Wimbi la wakimbizi kuelekea Ulaya

Jidu

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2011
Posts
1,232
Reaction score
757
Nchi za Ulaya zimekumbwa na taharuki na kukabiliwa na idadi kubwa ya wakimbizi wanaojaribu kuingia kwenye bara hilo kukimbia machafuko na vita huko watokapo. Ila nisingependa nchi hizo kulalamika juu ya ujio huo wa wakimbizi kwasababu ni kati ya majanga waliyoyatengeneza wao wenyewe kwa kutaka demokrasia katika nchi husika.

Leo nchi kama Libya ambayo ilikuwa bora kiuchumi haitawaliki tena. Iraq na nyinginezo. Nchi hizi zimeharibika na hazina dalili ya kurudi katika hali yake ya zamani.

 
Nchi za Ulaya zimekumbwa na taharuki na kukabiliwa na idadi kubwa ya wakimbizi wanaojaribu kuingia kwenye bara hilo kukimbia machafuko na vita huko watokapo. Ila nisingependa nchi hizo kulalamika juu ya ujio huo wa wakimbizi kwasababu ni kati ya majanga waliyoyatengeneza wao wenyewe kwa kutaka demokrasia katika nchi husika.

Leo nchi kama Libya ambayo ilikuwa bora kiuchumi haitawaliki tena. Iraq na nyinginezo. Nchi hizi zimeharibika na hazina dalili ya kurudi katika hali yake ya zamani.


Nimeona Leo Mpaka nimetoa machozi yaani ,Akina mama wanalalamikaaa wanalia watoto wanalia nikajiuliza Mungu kwanini aliruhusu mateso na hawa viongozi wanaofanya yote haya Nia Yao ni nini???
 
waache waende mbona wakiona vitu vizuri vya afrika wanachukua wachezaji mpira,wanariadha wataalamu wote wanachukua pamoja na rasilimali na fedha za ufisadi zinachukuliwa na kuwekwa kwenye benki zao ili kuendeleza uchumi wao wakitaka wasije wahahakikishe vitu vyetu vizuri vinabaki huko waache waende wasiwakatae
 
ni wachache sana wanaojua kuwa vita vya nchi nyingi duniani vinaletwa na hayo mataifa makubwa ya ulaya na marekani...
 
Nimeona Leo Mpaka nimetoa machozi yaani ,Akina mama wanalalamikaaa wanalia watoto wanalia nikajiuliza Mungu kwanini aliruhusu mateso na hawa viongozi wanaofanya yote haya Nia Yao ni nini???

Ila hawa wazungu ni wanafiki sana vita wavilete wao silaha zao watuuzie tukikimbilia kwa twafa sijui haya makitu yanataka yabaki peke yao duniani?
 
Back
Top Bottom