G granitized JF-Expert Member Joined Jul 5, 2016 Posts 4,638 Reaction score 10,623 Aug 16, 2025 #21 Clarity said: View attachment 3442571 Click to expand... WANALANDANA
PAGAN JF-Expert Member Joined Aug 19, 2014 Posts 13,334 Reaction score 22,279 Aug 16, 2025 #22 hearly said: Hiyo family kama Ina laana hivi Click to expand... Achana na maneno ya mitandao, hao watu hawana laana yoyote. Watu wanaosema hii familia ina laana wao wenyewe hawaongei na baba zao wazazi, wapo kukariri habari hazina vichwa wala miguu
hearly said: Hiyo family kama Ina laana hivi Click to expand... Achana na maneno ya mitandao, hao watu hawana laana yoyote. Watu wanaosema hii familia ina laana wao wenyewe hawaongei na baba zao wazazi, wapo kukariri habari hazina vichwa wala miguu
Vishu Mtata JF-Expert Member Joined Dec 15, 2019 Posts 20,598 Reaction score 44,423 Aug 16, 2025 #23 Jabari XVI said: Kakosea nini mzee wao mkuu? Click to expand... Malezi yao, anadai aliruhusu familia kusema ukweli kwa kila kitu pasi na kuficha chochote. Hata mkewe akicheat mwamba anaambiwa na anasamehe.
Jabari XVI said: Kakosea nini mzee wao mkuu? Click to expand... Malezi yao, anadai aliruhusu familia kusema ukweli kwa kila kitu pasi na kuficha chochote. Hata mkewe akicheat mwamba anaambiwa na anasamehe.
Kalpana JF-Expert Member Joined Jun 16, 2017 Posts 35,667 Reaction score 70,303 Aug 16, 2025 #24 Jabari XVI said: Maisha ya umaarufu ni magumu sana mkuu, ni ya mateso sana Click to expand... Nakazia
Jabari XVI said: Maisha ya umaarufu ni magumu sana mkuu, ni ya mateso sana Click to expand... Nakazia
Kipenzi Changu Platinum Member Joined Aug 24, 2011 Posts 58,058 Reaction score 134,393 Aug 16, 2025 #25 Ndio nani huko Daslam?
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 167,279 Reaction score 185,556 Aug 16, 2025 #26 Ngoja tuone... Cc: Mahondaw
Mahondaw JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 72,016 Reaction score 177,324 Aug 16, 2025 #27 Smart911 said: Ngoja tuone... Cc: Mahondaw Click to expand... Yani Will Smith ameshindwa kabisa kumlea huyo Mtoto dahh!!
Smart911 said: Ngoja tuone... Cc: Mahondaw Click to expand... Yani Will Smith ameshindwa kabisa kumlea huyo Mtoto dahh!!
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 167,279 Reaction score 185,556 Aug 16, 2025 #28 Mahondaw said: Yani Will Smith ameshindwa kabisa kumlea huyo Mtoto dahh!! Click to expand... Malezi ya watoto kwenye nchi zilizoendelea ni mtihani sana...
Mahondaw said: Yani Will Smith ameshindwa kabisa kumlea huyo Mtoto dahh!! Click to expand... Malezi ya watoto kwenye nchi zilizoendelea ni mtihani sana...
Mahondaw JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 72,016 Reaction score 177,324 Aug 16, 2025 #29 Smart911 said: Malezi ya watoto kwenye nchi zilizoendelea ni mtihani sana... Click to expand... Mbona kama mambele wanajali sana?????
Smart911 said: Malezi ya watoto kwenye nchi zilizoendelea ni mtihani sana... Click to expand... Mbona kama mambele wanajali sana?????
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 167,279 Reaction score 185,556 Aug 16, 2025 #30 Mahondaw said: Mbona kama mambele wanajali sana????? Click to expand... Watoto ni kama mayai huko, ukiligusa tu serikali inakupasua...
Mahondaw said: Mbona kama mambele wanajali sana????? Click to expand... Watoto ni kama mayai huko, ukiligusa tu serikali inakupasua...
Mahondaw JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 72,016 Reaction score 177,324 Aug 16, 2025 #31 Smart911 said: Watoto ni kama mayai huko, ukiligusa tu serikali inakupasua... Click to expand... Dahhhhh!!
Smart911 said: Watoto ni kama mayai huko, ukiligusa tu serikali inakupasua... Click to expand... Dahhhhh!!
D dos.2020 JF-Expert Member Joined Feb 17, 2009 Posts 14,163 Reaction score 11,825 Aug 16, 2025 #32 ndio nani?
gabriel Heinze JF-Expert Member Joined Sep 18, 2020 Posts 499 Reaction score 663 Aug 21, 2025 #33 Kalpana said: Jamani kutoka kwny Karet Kid mpaka kuwa hivi.. Huzuni Click to expand... Karet kid ni j siyo willow.
Kalpana said: Jamani kutoka kwny Karet Kid mpaka kuwa hivi.. Huzuni Click to expand... Karet kid ni j siyo willow.
Kalpana JF-Expert Member Joined Jun 16, 2017 Posts 35,667 Reaction score 70,303 Aug 21, 2025 #34 gabriel Heinze said: Karet kid ni j siyo willow. Click to expand... Wameshaniambia kaka...nilipitiwa
Shadow7 JF-Expert Member Joined Sep 28, 2020 Posts 33,810 Reaction score 55,619 Aug 21, 2025 #35 Vishu Mtata said: Mzee wao ndo changamoto. Hao madogo kua sawa, sijui kwakweli. Wana mambo ya kiwaki, daily kwao ni majuto. Click to expand... Shida ni mama yao na sheria za US
Vishu Mtata said: Mzee wao ndo changamoto. Hao madogo kua sawa, sijui kwakweli. Wana mambo ya kiwaki, daily kwao ni majuto. Click to expand... Shida ni mama yao na sheria za US
Vishu Mtata JF-Expert Member Joined Dec 15, 2019 Posts 20,598 Reaction score 44,423 Aug 21, 2025 #36 Shadow7 said: Shida ni mama yao na sheria za US Click to expand... Mkuu kwamba US watoto wako vile, ni wazazi wao tu miyeyusho.
Shadow7 said: Shida ni mama yao na sheria za US Click to expand... Mkuu kwamba US watoto wako vile, ni wazazi wao tu miyeyusho.