accused
JF-Expert Member
- Aug 7, 2015
- 2,496
- 2,750
Ndugu zangu wanajamvi..
Uchaguzi ushapita na sasa turudi tena wamoja tukiziacha tofaut zetu za vyama..alieshinda kashinda na hao wanatetea vita kwa kushindwa i dont support them.
Swali lililobaki kichwan kwasasa ni kua kwa uchapakaz alouonyesha mh. William Lukuv ndan ya wizara ya ardhi mda mfupi alokaa ktk wizara hyo ni dhahiri kua angefaa sana kua PM anaeweza kwendana na kasi ya Rais mteule..was was ni mmoja tu, lukuv ana majibu ya hovyo hovyo sana kwa wale mlokua mkifuatilia bunge na dharau pia zimemjaa!!
Give up your opinion!!!
Uchaguzi ushapita na sasa turudi tena wamoja tukiziacha tofaut zetu za vyama..alieshinda kashinda na hao wanatetea vita kwa kushindwa i dont support them.
Swali lililobaki kichwan kwasasa ni kua kwa uchapakaz alouonyesha mh. William Lukuv ndan ya wizara ya ardhi mda mfupi alokaa ktk wizara hyo ni dhahiri kua angefaa sana kua PM anaeweza kwendana na kasi ya Rais mteule..was was ni mmoja tu, lukuv ana majibu ya hovyo hovyo sana kwa wale mlokua mkifuatilia bunge na dharau pia zimemjaa!!
Give up your opinion!!!