Will vs Shall,which is which??

Abdallah404

Member
Joined
Feb 17, 2014
Posts
61
Reaction score
21
Wenye ufahamu na hili,Baadhi ya vitabu wanaeleza kuwa shall inatumika kwa nafsi ya kwanza tu yaani(I & We) mf. I shall.... or We shall......
Lakini naona katika vision au mission za taasisi mbalimbali Wanatumia shall katika nafsi ya tatu umoja(Third personal Singular)
mf. HMS shall strive to attain highest reputable......
UFAFANUZI TAFADHALI.
 
"Shall" honesha command, authority na hali za kufanana na hizo. Ndio maana kwenye sheria neno "shall" hutumika kuonesha ulazima. "It shall be unlawful........"
 
Yes the above mkuu kaeleza vyema, pia.. "Will.. Hutumika kuonyesha tegemeo la jambo ambalo linaweza kuwepo au kutokuwepo.
 
He(it, she,they) shall....Hii ni command
He(it,she,they) will...... Hii si command
I(we) shall ......Hii si command
I(we) will...Hii ni command
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…