Will Kagame and Uhuru attend Mandela's burial ceremony

Will Kagame and Uhuru attend Mandela's burial ceremony

acha chuki za kitusi wewe, vipi dau la kumtetea kagame jf limepandishwa nini? FLDR wanajiandaa kama haki ya kweli haitapatikana rwanda, kujificha kwa kisingizio cha kutumikia wanyarwanda si sababu, kinachotakiwa ni utawala unao heshimu sheria! wapo wanyarwanda wengi sana ukimbizini sababu ya utawala katili wa kitusi, time will tell uhuru wa kweli rwanda utapatikana tu baada ya huu utawala unaonuka damu za binadamu kutokomezwa hapo kigali.


Join Date: 7th December 2013.....hivi unadhani ukibadili ID yako ndio watu watakusikiliza? Halafu posts zako zote 99% ni anti-kagame...obviously tunajua ni nani amekutuma lakini hatukosi usingizi...pigeni kelele huko nje mpaka mchoke lakini sisi hapa tunachanja mbuga.
 
1386713140Special.jpg
 
As the political barometer of nations across Africa stands for now, it is yet another guess to confirm whether these two will attend the burial ceremony of a Global icon Mzee Nelson Mandela.

Heard in the grapevine reason for this confusion is Mandela's will that exclusively singled out leadership in Kenya as tainted with
PEV blood that was spearheaded via tribalism hatred; an enemy to democracy and principles of free civilized society contrary to Mandela's vision to see Africa liberated from evil of tribalism, religion and any sort of marginalization and inequality. Therefore Uhuru has been barred from attending burial ceremony at Mandela's village. To avoid that huge snub cum embarrassment, Uhuru has quickly fixed and opt to chose to visit a memorial mass open to public instead of an official function for dignitaries. Kenyan media is at the center of covering up this turn of event to save his face from rejection.

Whereas for Kagame the issue of exiled General Mwawasa continues to taint relations between Rwanda and South Africa. Kagame as well known has been avoiding SA just like he has done for Tanzania and for him being present there will be an insult to humanity knowing how much atrocities has his government committed to the people of Eastern DRC via various militias including M23 bankrolled by the office in Kigali.

One thing for surety is East Africa leadership continues to embarrass at the Global stage and the only thing this shallow minded leadership has managed to master is back jittery, stabbing and isolating each other via things like COW that its main agenda is undermine Tanzania.

Sasa hii ni nini. Yani mtu amekaa akafkiria kupost ujinga kama huu. When will some people ever learn?
 
Join Date: 7th December 2013.....hivi unadhani ukibadili ID yako ndio watu watakusikiliza? Halafu posts zako zote 99% ni anti-kagame...obviously tunajua ni nani amekutuma lakini hatukosi usingizi...pigeni kelele huko nje mpaka mchoke lakini sisi hapa tunachanja mbuga.

sasa mpo uchi wa mnyama, hamna wa kumdanganya tena ni lazima uhuru wa kweli upatikane rwanda.
 
Join Date: 7th December 2013.....hivi unadhani ukibadili ID yako ndio watu watakusikiliza? Halafu posts zako zote 99% ni anti-kagame...obviously tunajua ni nani amekutuma lakini hatukosi usingizi...pigeni kelele huko nje mpaka mchoke lakini sisi hapa tunachanja mbuga.

hivi kwanini unaumia sana linapotajwa neno haki kwa jamii zinazonyanyaswa na watusi?
 
Unajua yeye sio mtu wa kuuza sura kama some people that I know. Utadhani wanagombea u miss. Kazi kwanza. Kazi ya kuwatumikia Wanyarwanda halafu mengine hayo ya kuuza sura baadae.

kule congo alipokua ana terorrise women and children and plunder congolese resources through his proxy group M23 ndio kulikua kutumikia wanyarwanda???

kagame is the african hitler!!!
 
wewe tumeshakuzoea hapa, vipi millitary wing ya m 23 mmeipachika jina gani baada ya kula kichapo cha mbwa mwizi kule goma

Kabla ya kujiita majeshi1981 ulikuwa unatumia jina gani? mokala1989? au ni rushasha? kwa nini unabadili majina kila siku? hujiamini au ni uoga?
 
Kagame asingeweza kuhudhuria msiba wa Mandela..... Maana ulikuwa msiba wa mtu asiye penda visasi kwa yeyote aliyemfanyia ubaya.... Kitu ambacho Paulo Kagame hawezi....... yeye anawaza visasi tu.... hata ukimshauri kitu....kama ushauri wako haupendi basi lazima anafikiria jinsi ya kulipiza kisasi kwa sababu ulimshauri kitu asichopenda.....

Hivyo Paulo Kagame si muumini wa kusmehe na kusahau yaliyopita.
 
Kagame asingeweza kuhudhuria msiba wa Mandela..... Maana ulikuwa msiba wa mtu asiye penda visasi kwa yeyote aliyemfanyia ubaya.... Kitu ambacho Paulo Kagame hawezi....... yeye anawaza visasi tu.... hata ukimshauri kitu....kama ushauri wako haupendi basi lazima anafikiria jinsi ya kulipiza kisasi kwa sababu ulimshauri kitu asichopenda.....

Hivyo Paulo Kagame si muumini wa kusmehe na kusahau yaliyopita.
Hii analysis kawapelekee scholars wenzako wa madrasa uliposoma.
 
Kagame is technically imprisoned. Kifungo cha nyumbani
 
Hii analysis kawapelekee scholars wenzako wa madrasa uliposoma.

Lakini hii hapa sikumletea Koba niliileta kwa wengine ambao wanaona mambo kwa upana zaidi....... na wana mawazo yenye usawa...... hawaongozwi na ushabiki au mapenzi kuelekea mtu au kitu fulani.

Lingine...... sipendelei matusi na dharau hapa jukwaani..... maana lengo kubwa ni kuelimisha na kujielimisha.....

 
Back
Top Bottom