Kigarama
JF-Expert Member
- Apr 23, 2007
- 2,492
- 1,238
Mkuu wa Ulinzi na Usalama wa CHADEMA Wilfred Lwakatare amefiwa na Baba yake Mzazi Mzee Elias Lwakatare, aliyekuwa Mwalimu kwenye shule mbali mbali za Bukoba kuanzia miaka ya 30. Marehemu anakisiwa kuwa na miaka zaidi ya 100. Mipango ya Mazishi inaendelea jijini Dar es salaam alikofia Marehemu, na Jumatatu mwili wa Marehemu utasafirishwa kwenda Bukoba kwa Maziko.
R.I.P Mwalimu Elia!!
R.I.P Mwalimu Elia!!