Daimler
JF-Expert Member
- Sep 11, 2018
- 556
- 973
Balozi wa Tanzania nchini Sweden, Wilbroad Slaa, amesema kuwa Vyama vya Upinzani nchini vinaweza kufutika katika ulimwengu wa siasa kwa kuwa, havina ajenda rasmi zaidi ya kurukia Kauli za Rais Magufuli.
Slaa aliyekuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA, alisema kuwa, hakuna Chama kinachoweza kwenda Ikulu kwa kukosoa usahihi wa lugha wa lugha inayotumiwa have Viongozi walio madarakani kwa kuwa kauli ya mtu si ajenda inayoweza kuwashawishi watu."