Wilaya ya Chunya hatuna maji safi na salama

Wilaya ya Chunya hatuna maji safi na salama

Philipo Mwakibinga

Senior Member
Joined
May 13, 2013
Posts
110
Reaction score
175
Wilaya ya chunya-mbeya hasa jimbo la lupa,nimiongoni mwa wilaya zisizo na uhakika wa maji safi na salama, jamii ya wana wa chunya inakunywa maji ambayo yanaitwa "minjingu".maji haya yamesababisha mabomba kukatika,mapipa kutoboka hali inayo wafanya wakazi wa chunya kutunza maji hayo katika majaba ya plastic
matank ya maji yamebadilika rangi.

Wakati haya yanaendelea halmashauri ya chunya haionekani, kustushwa na hali hii,mbunge wa ccm,aliye ahidi kushughulikia tatizo hili ameamua kuhama kabisa jimboni, japo hana nyumba,pale alipaswa kutembelea.

Niahibu anakaa,bungeni na kushughulikia suala la mochwali kwa muda wa miaka 8, ni ajabu
 

Attachments

  • Photo0821.jpg
    Photo0821.jpg
    179.8 KB · Views: 125
Kaka nilikuwepo kwenye mkutano wako pale chunya mjini uwanja wa sabasaba...nilitamani tuongee masuala fulani ya kuindoa sisiem pale lakini sikupata muda.....ninaifahamu vizuri sana chunya!! Let us communicate tujue tutafanya nini...!
 
matank ya maji yamebadilika rangi.

Ninyi hamuelewi kuwa mbunge wenu ameagiza mamlaka ya maji iweke virutubisho vya lishe bora katika maji?
Hiyo rangi isiwatie wasiwasi ni maji tu yaliyo salama na pia wameongeza lishe bora kwa ajili ya wanajimbo.

2015 inakaribia.
 
Naona kwenye picha bomba linatoa "asali" saafi. ndo ahadi yetu kwenu wananchi. Mkituchagua tena ccm 2015 yatatoa maziwa
 
Wilaya ya chunya-mbeya hasa jimbo la lupa,nimiongoni mwa wilaya zisizo na uhakika wa maji safi na salama, jamii ya wana wa chunya inakunywa maji ambayo yanaitwa "minjingu".maji haya yamesababisha mabomba kukatika,mapipa kutoboka hali inayo wafanya wakazi wa chunya kutunza maji hayo katika majaba ya plastic
matank ya maji yamebadilika rangi....

Kalibuni Darlesalama.
Bado jiji letu lina nafasi kwa kila mdanganyika.
Hapa maji yanapatikana bila shida, ni salama, safi na yana ladha ya kipekee.

Tatizo la Dar ni uwezekano wa kuchomwa na kitu chenye ncha kali au milipuko ya mabomu yaliyomaliza muda wake katika makambi ya walinda mipaka yetu.

Au kama mnapenda maji kama ya Dar, mshawishini mbunge wenu ajenge bomba la maji kutokea Dar kuja Chunya. Kama ile bomba la gesi kutoka kwa wazalisha korosho kuja kwa watu wa kuishi kimjini mjini..
 
Wilaya ya chunya-mbeya hasa jimbo la lupa,nimiongoni mwa wilaya zisizo na uhakika wa maji safi na salama, jamii ya wana wa chunya inakunywa maji ambayo yanaitwa "minjingu".maji haya yamesababisha mabomba kukatika,mapipa kutoboka hali inayo wafanya wakazi wa chunya kutunza maji hayo katika majaba ya plastic
matank ya maji yamebadilika rangi.

Wakati haya yanaendelea halmashauri ya chunya haionekani, kustushwa na hali hii,mbunge wa ccm,aliye ahidi kushughulikia tatizo hili ameamua kuhama kabisa jimboni, japo hana nyumba,pale alipaswa kutembelea.

Niahibu anakaa,bungeni na kushughulikia suala la mochwali kwa muda wa miaka 8, ni ajabu

Mkuu umefanya kazi kubwa sana huko Chunya ya kuimarisha Chadema.Endelea kuwaamsha watu.Kila la kheri.
 
Mmmh yangu macho na masikio. Ushauri wa bure, kamalize degree kwanza kule UDOM walikokufukuza. Ubunge ni kazi ngumu, changia na wananchi unaotaka kuwaongoza hawajui kazi za mbunge. Maendeleo ya Chunya yataletwa na wananchi wenyewe. Njoo na sera na mikakati mipya ya kutuendeleza wana Chunya sio majungu.
 
mmmh yangu macho na masikio. Ushauri wa bure, kamalize degree kwanza kule udom walikokufukuza. Ubunge ni kazi ngumu, changia na wananchi unaotaka kuwaongoza hawajui kazi za mbunge. Maendeleo ya chunya yataletwa na wananchi wenyewe. Njoo na sera na mikakati mipya ya kutuendeleza wana chunya sio majungu.
kwani kumaliza degree nilazima udom?
Nipo chuo kingine naitafuta,pia utambue kuwa ukweli si majungu,watu wanakunywa maji yasiyo stahili wewe useme majungu?
Ccm uwezo wenu wakufikiri nimfupi kama maisha ya funza hili naliamini
 
Du, kumbe umeingia juzi jukwaani. Uwe na ngozi ngumu kuwa mwanasiasa. Matusi hayajengi wala hayaleti maendeleo kwa wananchi. Nakutakia safari njema. Maliza degree yako salama itakusaidia kukuwezesha kufikiri na sio kutukana
 
kwani kumaliza degree nilazima udom?
Nipo chuo kingine naitafuta,pia utambue kuwa ukweli si majungu,watu wanakunywa maji yasiyo stahili wewe useme majungu?
Ccm uwezo wenu wakufikiri nimfupi kama maisha ya funza hili naliamini
Hata chuo hujamaliza umeshaanza kutafuta kazi tena ya ubunge? Hivi kwa hizi ngonjera zako unazotapika unafikiri ndio zitakazokufanya wana Chunya wakuchague? Chunya hawana muda kuingia JF, maliza shule kwanza; hapo Chadema hata kule kukufiria bado wana watu wao hao hapi umefikiria kama funza
Chama
Gongo la mboto DSM
 
siku nyingine makamanda mtoe elimu mapema najua mbeya watu wamesoma kwahiyo hamtapata shida ili 2015 njia iwe nyeupe kwa cdm kutawala nchi.
 
Wilaya ya chunya-mbeya hasa jimbo la lupa,nimiongoni mwa wilaya zisizo na uhakika wa maji safi na salama, jamii ya wana wa chunya inakunywa maji ambayo yanaitwa "minjingu".maji haya yamesababisha mabomba kukatika,mapipa kutoboka hali inayo wafanya wakazi wa chunya kutunza maji hayo katika majaba ya plastic
matank ya maji yamebadilika rangi.

Wakati haya yanaendelea halmashauri ya chunya haionekani, kustushwa na hali hii,mbunge wa ccm,aliye ahidi kushughulikia tatizo hili ameamua kuhama kabisa jimboni, japo hana nyumba,pale alipaswa kutembelea.

Niahibu anakaa,bungeni na kushughulikia suala la mochwali kwa muda wa miaka 8, ni ajabu
Hehehehehehe leo upo CCM hili tatizo ni kama hulioni!! Wala huwezi lizungumzia zaidi ya kumsifu tu mwenyekiti wa chama chako.

Eti ndio uwe mbunge wa kuleta mabadiliko kwa wananchi maskini??

Politicans are sh**t
 
Back
Top Bottom