Hujatukanwa mfano mkuu, umetoa tu maoni yako mtu anakutukania mzazi wako, ni fair kweli, bora kma umeanza kutukana mkuu Retired, lkn unaweka hoja yako tu, tayari mtu anakwambia unawaza kama matako ya baba yako, is that fair, hii tabia inabidi tuikemee mkuu.