Wiki ya utata kwa makamanda

Kila binaadam ana mama na lazima awe na gene yake. Ndiyo maana katika DNA hata mama anahusika. Ni kosa kuuliza jibu, na kila mtu lazima awe na tabia kama za wazazi wake. Hivyo unajaribu kupotosha ukweli kuwa hakuwa anamtusi
Kumtaja tu mzazi humu kwa hoja zetu za kubadilishana mawazo, ni kama kumdhalilisha, ni kweli kuna watu wanakera, ni bora kma mtu amekutukana umpe zake live bila kuwahusisha.
 
Tena litakuwa li mwezi kwa makamanda uchwara kuumia

Kuna lile dereva la mropokaji eti limepelekwa ulaya ili lisihojiwe
 
Hitimisho uwanja wa taifa? Unamaanisha?
 
Tena litakuwa li mwezi kwa makamanda uchwara kuumia

Kuna lile dereva la mropokaji eti limepelekwa ulaya ili lisihojiwe
Aibu chama kinamkingia kifua mtuhumiwa namba moja!
 
Hahaa kwa picha kama hii ni ngumu wanainchi wazalendo na jumuiya za kimataifa zinazojitambua kukubali kwamba jamaa ni dikteta.

Naona swagger ya kumzushia udikteta CD imekwama mziki hauchezeki.
Mbowe,lema na lissu wamedhihirisha wao ndio madikteta hawataki wengine waongee ndani chadema!
 
Mbowe,lema na lissu wamedhihirisha wao ndio madikteta hawataki wengine waongee ndani chadema!
Wamesahau walikuwa wanapiga kelele wabunge wa CCM wakamtembelee Lema kule Kisongo Jela, Wakamtembelee Lissu Nairobi Hospital.

Walikuwa wanasema siasa sio uhasama. Sasa mjumbe wa kamati kuu katekeleza kwa vitendo huu ushauri leo wanapiga kelele na vitisho.
 
Hawajui walitendalo!
 
ukitaka kujua kama mtu yupo `mind compromised' mwangalie jinsi anavyo respond hata ktk ishu ndogondogo. hata ukiamua kujibizana nae wewe ndo utaonekana wa ajabu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…