Wifi Router ipi( Universal) Nzuri

Wifi Router ipi( Universal) Nzuri

nurdi

JF-Expert Member
Joined
Jan 17, 2013
Posts
256
Reaction score
71
Wakuu nahitaji wifi router nzuri,yenye gharama nafuu ambayo inaingia moderm ya mitandao mbalimbali.shukrani natanguliza
 
Wakuu nahitaji wifi router nzuri,yenye gharama nafuu ambayo inaingia moderm ya mitandao mbalimbali.shukrani natanguliza

3G_mini_Wifi_router_with_aRynVfGi.jpg.thumb_400x400.jpg



inauzwa 52,000/=
 
TP Link Wifi Router3420 Supports 3G/4G modem and Radio.4LAN ports.Transfer speed 300MB/s

source jumia
 
Hiyo ni ile unaweza ukaicharge unatembea nayo nlikuwa nahitaji pia inayo ingia line zote
 
Hiyo ni ile unaweza ukaicharge unatembea nayo nlikuwa nahitaji pia inayo ingia line zote

-airtel wanauza modem ya wifi 40,000
-nunua power bank ya maana kwa 50,000
-chomeka modem yako kwenye powerbank

magic!!! una router inakaa siku nzima na charge, na hujalipa kiasi kikubwa. sina uhakika kama modem za wifi za airtel zinachakachulika
 
-airtel wanauza modem ya wifi 40,000
-nunua power bank ya maana kwa 50,000
-chomeka modem yako kwenye powerbank

magic!!! una router inakaa siku nzima na charge, na hujalipa kiasi kikubwa. sina uhakika kama modem za wifi za airtel zinachakachulika
Mkwawa shukrani hiyo naweza nika move nayo popote Na device nazoweza kushare nazo ningap Na wana vifurush maalum kwa hizo wifi
 
Hapan hiyo unapata access kama picha inavyo onyesha n ni universal networks n pia unaweza chomeka tethered nyaya ili kupat net n ukawa unawa sambazia wengine
 
Mkwawa shukrani hiyo naweza nika move nayo popote Na device nazoweza kushare nazo ningap Na wana vifurush maalum kwa hizo wifi
yap kokote unaenda nayo na vifurushi ni vya kawaida tu vya kila siku, sina uhakika device ngapi utashare ila hazishuki 5 itakuwa around 5 hadi 10.
 
-airtel wanauza modem ya wifi 40,000
-nunua power bank ya maana kwa 50,000
-chomeka modem yako kwenye powerbank

magic!!! una router inakaa siku nzima na charge, na hujalipa kiasi kikubwa. sina uhakika kama modem za wifi za airtel zinachakachulika
Nataka kuanlock huawei e5573s wifi device ni ya smart, ila mi nataka nitumie line zote. unaeza kua na softiware za ku-unlock????
 
Nataka kuanlock huawei e5573s wifi device ni ya smart, ila mi nataka nitumie line zote. unaeza kua na softiware za ku-unlock????
HAPANA sina cheki dc unlocker kama wanaisuport jamaa ndio wanatoa lock vifaa vingi sema ni ya kulipia
 
Back
Top Bottom