Wife ananichunguza JF, nanyi kuweni makini na wenzi

soweto85

JF-Expert Member
Sep 6, 2016
301
247
wana jamvi, hii nimeistukia leo baada ya kusikiliza kwa makini hoja za wife, wakati tukiongelea hili na lile. katika maongezi yake kuna baadhi ya comment alizokuwa anazishabikia au kuzidadavua huku akiniangalia usoni apate reaction yangu zinashabiana na zile nilizokuwa na post. ila nimemstukia kwa sababu mimi mwenyewe nilishapitia C.I.A ..!! na jf alijiunga baada ya mm kuwa nacheka peke yangu tunapokua tunapiga stoty tupo wawili tu. nikaona sio mbaya nimwelekeze ili aburudike anapokua kwenye shughuli zake. jana sasa ile post ya chanikiwiti ya mshana jr si ilitaka inivurugie utaratibu..... ...!!! du !! post nyingine nitakua napita kmy kmy !!
 
Mkuu mshana jr Njoo huku haraka , kuna maafa ulitaka kuzua jana.
Yaani maafa yangekuwa siyo ya nchi hii.

wana jamvi, hii nimeistukia leo baada ya kusikiliza kwa makini hoja za wife, wakati tukiongelea hili na lile. katika maongezi yake kuna baadhi ya comment alizokuwa anazishabikia au kuzidadavua huku akiniangalia usoni apate reaction yangu zinashabiana na zile nilizokuwa na post. ila nimemstukia kwa sababu mimi mwenyewe nilishapitia C.I.A ..!! na jf alijiunga baada ya mm kuwa nacheka peke yangu tunapokua tunapiga stoty tupo wawili tu. nikaona sio mbaya nimwelekeze ili aburudike anapokua kwenye shughuli zake. jana sasa ile post ya chanikiwiti ya mshana jr si ilitaka inivurugie utaratibu..... ...!!! du !! post nyingine nitakua napita kmy kmy !!
 
Hivi viroba si vilizuiwa au mwenzetu una chemb yako.

Tusituane basi tupate wote
mkuu au hua huperuzi jf ukiwa unastory na shem home ? halafu imagine na yeye anaperuzi vile vile kila mmoja hajui ID ya mwenzake. unakutana na vituko anaona kila mara kicheko cha mbali, halafu ana ka wivu cha hapa na pale hadi mtawanyiko kiasi, !!
 
Hebu nitumie namba yake au ID yake ya jf nimuonye asirudie tena huwo ujinga.
 
Ulipitia C.I.A unakamatika kirahisi hivyo . Mi kamwe hawezi jua, hata simu yangu nimesha encrypt.
 
Back
Top Bottom