Why UKAWA will loose the 2015 Election


Nice analysis,nakubaliana na wewe kuhusu mtazamo wa watanzania wengi kwa sasa,wanaangalia sana mgombea gani kuliko chama hii ni tofauti na 2010.Kwa mantiki hii kura laki 2 kama ulizoandika hapo za ACT zinaweza kuwa zaid (mayb even million) japo sina data za population za kigoma na tabora bt Zito popularity inaweza kuchange upepo wa upinzani na kuongeza kula za ACT.
 
kuna sheria ya matumizi ya statistics imepitishwa juzi.........matumizi ya data zisizo rasmi ni makosa ya jinai(lazima ziwe zimepitishwa na tbs). Ukipatikana na hatia utakwenda segerea kwa 2 years.

Acha ndoto za mchana.

acha ulevi; hakuna sheria duniani inayoweza kumkataza mtu kifikiri na kuandika mitazamo(hesabu zake); ninapatikana muda wowote ule kusimamia nilichoandika
 

Nadhani mbinu kubwa na pekee ya kuwafanya ccm kushinda ni kutumia vyombo vya dola na tume ya uchaguzi kutangaza matokeo batili ni si vinginevyo halafu waje na swaga za kwamba kama hujatendewa haki nenda mahakamani. Huko mahakamani ndio siku hizi kimegeuka kichaka cha kupora haki za wananchi na hilo liko wazi sana kwa jinsi mahakama zetu zilivyoweka rushwa mbele.
 

Ni kweli.. lakini sioni ACT wakija na mgombea mwenye nguvu. Kama Zitto angekuwa na vigezo kiumri akagombea ningetarajia zaidi ya kura milioni 1 kwake. Unless mtu kama Lowassa aende huko, lakini sioni wakiwa na mgombea mwenye ushawishi.
 
Nielimishe niondoe ujinga wangu ndugu: UKAWA ni nini? Kwanini iliundwa?
Ni kweli UKAWA uliundwa kuitetea katiba ya wananchi lakini pia wamesaini makubaliano ya kushirikiana kwenye uchaguzi. Hata vyama vya ODM na NARC vya Kenya vilianza na miungano iliyotokana na kupinga au kuunga mkono katiba pendekezwa wakati wa mchakato WA katiba ya Kenya.Baadaye walivigeuza kuwa vyama vya siasa na NARC walishinda uchaguzi mwaka 2007 kupitia Mwai Kibaki na ODM ya Raila ikashika nafasi ya pili.
 


Yan cjawai kusoma ----- kama huu. Watu wengine cjui wanaumia nin kufikiri? tumia kichwa baa
 
Ni kweli.. lakini sioni ACT wakija na mgombea mwenye nguvu. Kama Zitto angekuwa na vigezo kiumri akagombea ningetarajia zaidi ya kura milioni 1 kwake. Unless mtu kama Lowassa aende huko, lakini sioni wakiwa na mgombea mwenye ushawishi.

Hii inamaanisha moja kwa moja kuwa kura nyingi zitaenda kwa ccm kwenye presidential post coz sidhani kama watu wa ACT wataweza kuwapa kura upinzani(hasa chadema) even though kwenye ubunge ACT itapigiwa kura kwenye maeneo yao.Kwa ujumla bado ni mtihani mzito kwa ukawa kupiga political calculation na cost-benefit analysis za Zito
 
Hata mama yako hawezi chagua ccm. Maana amechoshwa na sera, rangi ya bendera, ideology, also structures of that part. It's time to destroy this part ccm in any means.
 
Watu wamemuelewa zzk kwamba ni msaliti mkubwa labda wewe
 

Bila kumuonea zitto nasema kweli yangu hapa Zitto ni mvurugaji wa upinzani Tanzania. Kwa mantiki hiyo huwezi kukubaliana na hoja za zitto wakati unajua malengo yake ni kupunguza kura za ukawa. Huyu Zitto si mpinzani kama anavyojipambanua kwa umma.

Ujanja wake unajulikana wazi, ukiwa mwanamageuzi ya kweli huwezi kujaa kiburi na ujuaji mwingi mbele ya wanamageuzi ya kweli, unawaomba msamaha mnasonga mbele. Zitto wapambe wake wengi ni wafuasi wa ccm wala usiumize kichwa. Zitto hufiki popote nakuhakikishia umelisaliti Taifa.
 

ACT haina loyal voters zaidi ya laki 2. Influence ya ZITTO kama angegombea ingewapa kura mioni 1. Asipogombea hao watu watagawanyika normally kwa wagombea wengine
 
Wewe hujamuelewa, katika harakati za mapambano, makenge huamatana na wale wanaharakati halisi.
Zzk na wengineo wameshindwa kutumia karata zao vema, wakati walio ondoka chadema haukuwa mwafaka maana wezao walifichua malengo yao kabla na hata walipoondoka bado wamepita njia ile ile waliyokuwa wametuhumiwa kabla. Kwahiyo wanao wafuata ni matahila sio wenye utashi.
 
Bw Simple Mimi nakuchukulia kama mwanaharakati kwa mtizamo chanya. Yaani umetoa huu mchango ili kuuamsha ukawa ujipange ilhali bado asubuhi. Fursa iliyopo kwa ukawa ni kutumia mtifuano na tofauti zinazojitokeza ndani ya chama tawala katika kumtafuta mgombea wao. Vyovyote vile, fursa kwa ukawa ni kubwa kwani mgombea wa safari hii hatakuwa na mvuto sawa na wa JK mwaka 2005. Kinyume na kuitumia nafasi hii vizuri, tusahau ukawa kuchukua dola mpaka vipindi viwili vipite tena.
 
Last edited by a moderator:

angalau umejitahidi
 

Nashukuru ndugu yangu kwa kunielewa;
Lengo ni kuamsha mjadala chanya, na kupeana ushauri: Wanapita pita humu JF, lazima kuna mawili matatu watajifunza. We have to keep talking
 
Impossible to a new political part like ACT to get more than 1million votes, (poor estimates) since you have taken into consideration only one factor (new member ZZK).
Your estimates is not clear and valid enough to convice voters because it is not recent data (2010) perhaps u could use recent data as well as other recent research to make your argument strong, this could avoid biases, also there could be no room to question your objectivity also your competence.
You didn't provide your recommendations towards your opinions provided,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…