Utakuta mtu katoka Kwenye family ya kimaskini mno akija USA anaanza kushindana na watoto ambao familia Yao inauwezo as a result wivu wa watoto wa familia za kimaskini wanaanza vita ya maneno na kumdestroy mtoto wa familia ya wenye uwezo .wanasubutu kumshitaki mtu migration eti wa kitajiri arudishwe bongo na Yule wa maskini abakie USA .hawa watu siwaelewagi kabisa.houston texas ndio m chezo huu sana.