Why should Magufuli reject Sylvia Mulinge as Vodacom CEO

Hujui kitu kuhusu masuala ya intelijensia hivyo ni bora usiyaongelee. Kaa kimya kabisa kulinda heshima yako.

Kwa kutojua kwako masuala haya ndo maana eti unafikiri ikitokea vita kati ya tz na kenya bado tutatumia rada zenu!!!!!!! Aisee, unajiaibisha kabisa.

Hizo hoja zako nyingine za mfumo wa elimu, tunashukuru kwa ushauri wako, the rest kaa kimya.
Mzee kayumba anaongea hadi vitu ambavyo havijui na amekua mropokaji

yaani jinsi alivyoongea utadhani anaijua tanzania kuliko tanzania jinsi ilivyo
 
Hujui kitu kuhusu masuala ya intelijensia hivyo ni bora usiyaongelee. Kaa kimya kabisa kulinda heshima yako.

Kwa kutojua kwako masuala haya ndo maana eti unafikiri ikitokea vita kati ya tz na kenya bado tutatumia rada zenu!!!!!!! Aisee, unajiaibisha kabisa.

Hizo hoja zako nyingine za mfumo wa elimu, tunashukuru kwa ushauri wako, the rest kaa kimya.
Anachanganya kati ya civilian na military cooperation, kama kweli kuna radar zao tunashare basi ni for civilian purposes tu ndio tunaweza ku-rent radar time, ila militarily uwezo wetu ni siri yetu. Ila aulize kilichomkuta Gadafi pale alipotuma air support kwa Idd Amin, ni kiliipata ile ndege, tena enzi hizo za Nyerere, bogus kabisa huyo jamaa..
 
kidogo naweza kukuunga mkono kwenye suala la mfumo wa elimu angali hata nyie mnauona mfumo wenu ni bora bado inabidi na nyie mpambane na hali yenu.....

kwa huo upande wa radar umeyumba mzee baba aliyekuambia kama tunatumia radar yenu ni nani...?..hebu lete evidence hapa....
nakuhusu masuala ya kuchapa kazi hakuna mtu anayelala dunia hii hayo mambo yalishapitwa na wakati tokea enzi za ukoloni....

Musklize rais wako anakiri hilo, kwamba anga yenu iko mikononi mwa Kenya.
 
WaTanzania katika utendaji ni zero ...............unafiki , wizi , uvivu , upendeleo kwa kubebana kikabila na kindugu na mambo mengi yasiyo na maana ndo wanajua ............Mimi hata Nikiwa na kampuni siwezi kumuweka MTamzania Kuwa CEO hata Siku moja ..............Ukimuweka mbongo Kuwa CEO Andika Maumivu hapo
 
WaTanzania katika utendaji ni zero ...............unafiki , wizi , uvivu , upendeleo kwa kubebana kikabila na kindugu na mambo mengi yasiyo na maana ndo wanajua ............Mimi hata Nikiwa na kampuni siwezi kumuweka MTamzania Kuwa CEO hata Siku moja ..............Ukimuweka mbongo Kuwa CEO Andika Maumivu hapo
nakamwe hauwezi kuwa na kampuni kwasababu akili yako imeganda.....endelea kuwa na akili yakutafuta wageni.....

pointi ni hivi endapo unapofungua kampuni halafu ikiwa wewe mwenye kampuni haujatengeneza sheria kali ama utaratibu yakinifu katika kampuni yako jua kabisa hata umuweke mtu wa aina gani katika ofisi yako akusimamie maumivu yatabaki kuwa palepale........hata hao wakenya wenyewe ambao unahisi ni bora ila kama ni bora haujiulizi kwanini taifa lao ndiyo taifa linaloongoza kwa rushwa kuliko lolote kwa huu ukanda.......na kingine katika maisha hata wewe upate shavu la ajira nnje ya nchi yako lazima ujitume zaidi ili uonekane.....hivyo usiwe namawazo potofu

NOTE:ukiwa kampuni yako ukiweka taratibu zakivivu nao uliowaajiri wataishi kivivu
 
Anachanganya kati ya civilian na military cooperation, kama kweli kuna radar zao tunashare basi ni for civilian purposes tu ndio tunaweza ku-rent radar time, ila militarily uwezo wetu ni siri yetu. Ila aulize kilichomkuta Gadafi pale alipotuma air support kwa Idd Amin, ni kiliipata ile ndege, tena enzi hizo za Nyerere, bogus kabisa huyo jamaa..
hajui kitu anachanganya sukari na chumvi....na alichokizungumzia magu hata hajakielewa wakenya bwana ni wapuuzi sana
 
kumbe haujamuelewa......

Mimi nimemuelewa vizuri tu, unafaa ufahamu ilmradi ndege zinazotua ndani ya nchi yako zinaongozwa kwa kutumia radar ya jirani, hapo umechemka, haijalishi hata kama utajitetea kwa kusema ni civilian aircraft.
 
Mimi nimemuelewa vizuri tu, unafaa ufahamu ilmradi ndege zinazotua ndani ya nchi yako zinaongozwa kwa kutumia radar ya jirani, hapo umechemka, haijalishi hata kama utajitetea kwa kusema ni civilian aircraft.
ndiyo maana nikakuambia haujaelewa kitu.... wacha nikuache na uelewa wako
 
Mimi nimemuelewa vizuri tu, unafaa ufahamu ilmradi ndege zinazotua ndani ya nchi yako zinaongozwa kwa kutumia radar ya jirani, hapo umechemka, haijalishi hata kama utajitetea kwa kusema ni civilian aircraft.
And that justifies a spy infiltrating our communications and intelligence systems?
 
Tafuta cha kufanya Mzee if u can't go through the arguments put forward.

So if you understood the arguments (na kwa kuwa huna cha kufanya), could you please elaborate on why you think it is a good idea for President Magufuli to interfere with the selection of Vodacom leaders? Why do you even think that is possible?
 
Kwahiyo mtoto wa grade 2 (darasa la pili) kule uingereza anaezungumza kiingereza safi anaweza kuwa CEO hapa bongo, si ndio? Kwani lazima udhihirishe upumbavu wako? Si ukae kimya tu?

mimi naongelea misingi ya kujifunza na kujenga lugha, no matter the level...

na ndio maana nikasema "ni caution nzuri ila..." ... mwenye thread baada ya ku monitor thread yake kaandika:

"BTW I am pretty happy on the response this thread has had. My expectation is the relevant authorities will intervene and prevent our companies from being sabotaged by our competitor."

Lawfully inawezekana, kumfukuza mtu based on previous failures by their fellow countrymen? Does her appointment mean she will follow the tradition of her fellow countrymen? Bahati mbaya/nzuri sheria zipo nchini. Mamlaka husika zipo na zilikuwepo wakati wengine walikuwa wanapiga dili zao nchi hii hii.

Kama michango/mawazo yangu kwenye hii thread ama Jamii Forum kwa ujumla ni ya kipumbavu, basi acha yawe hivyo :)




 
mimi naongelea misingi ya kujifunza na kujenga lugha, no matter the level...

na ndio maana nikasema "ni caution nzuri ila..." ... mwenye thread baada ya ku monitor thread yake kaandika:

"BTW I am pretty happy on the response this thread has had. My expectation is the relevant authorities will intervene and prevent our companies from being sabotaged by our competitor."

Lawfully inawezekana, kumfukuza mtu based on previous failures by their fellow countrymen? Does her appointment mean she will follow the tradition of her fellow countrymen? Bahati mbaya/nzuri sheria zipo nchini. Mamlaka husika zipo na zilikuwepo wakati wengine walikuwa wanapiga dili zao nchi hii hii.

Kama michango/mawazo yangu kwenye hii thread ama Jamii Forum kwa ujumla ni ya kipumbavu, basi acha yawe hivyo :)





Next time say what you mean, don't say 1 when you mean 2, and you only mean 2 when ur cornered, but before that its 1.
 
Your kind of thinking will always make us second to Kenya. We should not cower and run away from market challenges, but rise higher that those challenges. Global integration is already here and you can never say Tz will remain an island. This is why we need new way of thinking. Being ahead of competition. Being ahead of foreigners who come with the need to invade our land/ resources. Think bigger...not using a strategy of running away.
 
Exactly, the funny thing is those who appointed her think Tanzania's mobile industry is a walk in the Park like in Kenya where Safaricom has 76%. They forget none of the companies has a market share of even 33%!

In my view Tigo is the real deal at 28% market share plus acquisition of Zantel, it's a matter of time before Vodacom is eclipsed. That's aside Halotel, the youngest mobile company in the industry and already has captured a market share of 10% (3.8 mln subscribers) in two years of operation .
Vodacom is gonna die under her leadership.

Tanzania competition is more than intense, you can loose over a million of customers a month.

Asidhani huku kuna gurantee ya customers kama Safaricom.
 
Why should Sylvia Mulinge be rejected as Vodacom's Managing Director

Towards our agenda 2025, nation interests for Tanzania should come ahead of anything as farequested as regional strategic decisions are concerned. Unfortunately, the British owned companies don't see how their careless moves can put our national interests at disadvantage. This is out of a reality that their skewed mentality has repetitively given leverage to Kenyan nationals at the expense of Tanzania's regional prospects with detrimental effects on our economic welfare as a result.

As an alert, Kenyans as people are to us our natural rivals aside being corrupt and money laundering machines just like Bashir Awale a former managing Director at Standard Bank (with a $6 mln bounty on his head). While protectionists at home; on given a task, they lack comittment, competence and expertise to perform at diligence. Appointing any of them to lead a big company like Vodacom poses serious risks to its prospects.

Just like Precisionair under Kioko, a sole electrical transformers plant in the region Tanelec was put under management of Kenyan nationals at its prime, before ended up minting loses. One should not forget how Kibo Breweries met impenitent greedy and protectionist takeover by East African Breweries under its CEO Gerald Mahinda at time.

As not only a bargaining token but a trump card that subsequently ensured an immediate closure agreement with Sabmiller for any potential threat in their perceived home market after ownership exchange of Brewery plants in Moshi and Thika in what was at the time Kenyans' a bragging right in what was infamously baptized a regional "Beer war", rendered Moshi town and her peripherial residence jobless with the disappearance of most catchy beer brand "Kibo gold" from the market.

The same is a repetitive sad story about the second take over of Serengeti Breweries unfortunately, by the same East African Breweries. As a testimony, just recently the East African Breweries was put under scrutiny of Fair Competition Commission after the terms of take over were violated. Again, as a result of poor decisions taken in Nairobi that deliberately ignored conditions and agreements put forward by Fair Tanzania's Competition Commission.

After a takeover, the behind the scene ill motives were pioneered that resulted into all efforts being channelled towards improving the image Tusker brand within the Tanzanian market at the expense of a loss of market share of a more prominent Serengeti beer. Serengeti beer was intentionally rejected the same treatment within Kenya as the takeover agreement requested aside a termination of several local sports sponsorships that led to her market share plunge at home.

Prior that, it has to be remembered via relentless promotions Serengeti beer had managed to carve a niche of its own in the beer market and commanded a respect and an outmatched vibrant receptiveness to beer consumers. Even under fierce competition from Sabmiller it's market share had fairly risen and by the time of a takeover, Serengeti Breweries had already established an overall market share of 15% within Tanzania.

Unfortunately under the prohibitive control and poor management of the East African Breweries in Nairobi that market share shrank to less than 7% at the moment. To me that did not happen as a coincidence, considering the fact the poor performance was for the second time and especially after seeing the same East African Breweries is investing a $150 mln plant in Kisumu a nose and mouth from Mwanza where Serengeti Breweries is having another plant.

To me, a demise of Serengeti Breweries was meant to give an excuse for a new plant in Kisumu and trying to use instigated poor performance to shut down a plant in Mwanza, a misallocation of resources.

As never ending recurrence of similar sabotageous coincidences, the same story can be explained of Tanelec acquisition by Transcentury under CEO Kiuna Gachao. Again, a Kenyan company, Transcentury led to Tanelec's underperformance as a result of a brand new subsidiary being opened in Kenya rendering its market share being constricted and hence redundance at home while job creation in Nairobi.

The same was the unfair tactics for the most talked about Arusha dairy acquisition by Brookside that left bitter taste among diplomatic circles in the region as Uhuru happened to be that ultimate torch bearer for this company.

I have a strong feeling madam Mulinge is sent on a mission and suspiciously, is being assigned to oversee a takeover of Vodacom by Safaricom, a move that will be executed via managerial limitations towards overall company's performance that in the end will erase its competitiveness in the Tanzanian market. With a board stage-managed from Nairobi to play a second fiddle in making approvals and decisions on their favor, unhealthy managerial tactics will be instigated to discourage the much needed innovation for a company to stay relevant in the market and hence growth derailment while posing Vodacom for a smooth take over at a throw away price.

Your Excellency President JPM, with my esteem humble advice i ask your office to reject this appointment. I also beg your office to stop letting Tanzanian companies being put under any sort of influence or control by Kenyans. Kenyans as people lack merit are incompetent while corrupt and have proven failure even on the running of their own companies at home.

Think of loss making KQ under Naikuni and Nguze, Uchumi under Kipng'etich and Nakumatt under Shah e.t.c. the list of their cultural proof of embezzlement, fraud and mismanagement when given a control of any good company is undebatable and can go on and on.

It's high time to do away with giving them a chance to ruin good gains by our companies especially those public owned as their failure will be disastrous to our economy. Just like the way a renowned Tanzanian political satirist James Gado was unceremoniously shown an exit door through a political influence though he working in a public company NMG, a similar fashion treatment can save Vodacom. Enough with their shenanigans , let us put a stop to being made their experimental Guinea pigs on their project "rundown to takeover". We should always stay vigilant and remind ourselves it's purely an attempt to economical dominance at play.
this is what I call patriotism at its best (if there is no conflic of interest)!
Please Mr. President heed his/her plead!
 
Back
Top Bottom