dem boy
JF-Expert Member
- Nov 4, 2016
- 5,851
- 14,518
Umaskini na njaa ndo unawakimbiza wa Afghanistan kwenda America,lkn pia utawala wa Taliban ni utawala unajificha kwenye kivuli cha uislam lkn utawala wao ni wa kijambaz,waporaji,ubakaji,wauaji na kila aina ya uoneaji...Jambo lipi
Liweke wazi tafadhali
NI utawala ambao una malengo mengi kimaslahi binafsi tofauti na uendelezaji wa nchi na watu wake,ni utwala,ni utawala ambao unachochea zaidi watu wake kuwa wajinga na maskini ili wapate kuwatawala vizuri
Uislam hausemi wanawake wasisome au wasifanye kazi