Zakumi
JF-Expert Member
- Sep 24, 2008
- 5,063
- 2,471
a lot of bullshit .....[/QU Pole sana. Bado huamini kwamba uchumi wa US unakaribia mochwari? Tafuta katika youtube documentary ya BBC inayoitwa 'The Chinese are Coming' uelewe tunaongelea nini. Tumshukuru huyo mmarekani kwa kuwafungua wenzake. Soma makala ya Mihangwa ktk raia mwema la leo, ipo pia online
British Empire ameanguka zamani. Lakini standard of living ya watu wa Britain bado kubwa sana. Likewise, nguvu za Marekani na uchumi wake unapungua lakini bado standard of living itakuwa ya kupeta tu.