why it is hard for me to forget the man i loved most?

why it is hard for me to forget the man i loved most?

oonatha

Member
Joined
Jul 17, 2012
Posts
24
Reaction score
9
habari zenu wanajf...
niko kwenye wakati mgumu sana sasa, najaribu kila hali niweze kumsahau mwanaume ninayempenda ambaye naweza kusema uwezo wa kuwa naye tena haupo kutokana na migogoro inayoendelea kwa mda mrefu sasa kati yetu tangu last year in July. wadada na wakaka hebu fungukeni huwa mnafanyaje kuwasahau wapenzi wenu mliowapenda kwa dhati na mkajikuta hamna uwezo wa kuwa nao tena? ushaur wenu unahitajika katika hili, maana nashindwa kumweka mtu mwingine katika moyo wangu....
 
Sali tu hakuna zaidi ya salaa, unajua shetani anakuchezea tu kwamba huwezi kupenda mwingine zaidi yake, Mungu kisha kuandikia nani atakuwa wako...wala usijali :A S shade:
 
Shosti pole ebu niulize kwani ndio mwanamme wako wa kwanza? na kwanini ujitese roho yako kumpenda mtu wala mawazo na wewe hana? nna hakika kua wewe ni mrembo na unaweza kupata mwengine zaidi yake, jaribu kujiweka busy sana na kazi zako punzugaza kumfikiria kwani hastahili penzi lako,muombe mungu kwa sana atakupa mwenye kheir na wewe..
 
Sali tu hakuna zaidi ya salaa, unajua shetani anakuchezea tu kwamba huwezi kupenda mwingine zaidi yake, Mungu kisha kuandikia nani atakuwa wako...wala usijali :A S shade:
asante kwa ushauri wako, nitazingatia sala, mungua kubariki sana
 
Pata mwingine utamsahau tu na utaona alikuwa si type yako ndio maana amkudumu, pia utajiuliza ulikuwa umefungwa na nini kumpenda yule kaka!

Songa mbele yeye ni history!
 
habari zenu wanajf...
niko kwenye wakati mgumu sana sasa, najaribu kila hali niweze kumsahau mwanaume ninayempenda ambaye naweza kusema uwezo wa kuwa naye tena haupo kutokana na migogoro inayoendelea kwa mda mrefu sasa kati yetu tangu last year in July. wadada na wakaka hebu fungukeni huwa mnafanyaje kuwasahau wapenzi wenu mliowapenda kwa dhati na mkajikuta hamna uwezo wa kuwa nao tena? ushaur wenu unahitajika katika hili, maana nashindwa kumweka mtu mwingine katika moyo wangu....

Okay inategemea na aina ya tatizo au migogoro unayosema. Kwa nini haitatuliki kama wote mnapendana sawa?

Na sio kwamba unashindwa kumweka mtu mwingine issue ni kwamba hujakubali moyoni nanakilini kuwa huyo haiwezekani kuwa naye tena

Ukishakubali bhaaas utaona wazuri wenye mapenzi zaidi yake.
 
Shosti pole ebu niulize kwani ndio mwanamme wako wa kwanza? na kwanini ujitese roho yako kumpenda mtu wala mawazo na wewe hana? nna hakika kua wewe ni mrembo na unaweza kupata mwengine zaidi yake, jaribu kujiweka busy sana na kazi zako punzugaza kumfikiria kwani hastahili penzi lako,muombe mungu kwa sana atakupa mwenye kheir na wewe..

asante kwa ushauri wako nitajitahid kuzingatia, ndio ni mwanaume wangu wa kwanza na sijawahi kuwa na mwingine zaidi yake.
 
Pata mwingine utamsahau tu na utaona alikuwa si type yako ndio maana amkudumu, pia utajiuliza ulikuwa umefungwa na nini kumpenda yule kaka!

Songa mbele yeye ni history!
asante kwa ushauri wako
 
mapenzi haya....ndio maana wanaume tunatakaga kuwa wakwanza kumega tunda coz demu hakusau. pole bidada lakini. mapenzi kazi
 
Usijikoseshe raha kwa kumuwaza mtu ambaye unajua fika hamuwezi kuwa pamoja..! Sio wako huyo..!

Kuwa busy na mambo yako, na ikitokea akikujia akilini hebu waza zile kadhia alizokuwa anakupa kipindi mko wote..!

Ukiwaza zile kero ulizokuwa unazipata kipindi mko nae, utagundua kwamba hakukustahili hata kidogo..!
 
mapenzi haya....ndio maana wanaume tunatakaga kuwa wakwanza kumega tunda coz demu hakusau. pole bidada lakini. mapenzi kazi

Mapenzi chombo cha moto, yanahitaji leseni.
 
Bila shaka huyo jamaa ndiye aliye zindua program,just give it time and everything will be ok keep praying so that God give you da best.
 
habari zenu wanajf...
niko kwenye wakati mgumu sana sasa, najaribu kila hali niweze kumsahau mwanaume ninayempenda ambaye naweza kusema uwezo wa kuwa naye tena haupo kutokana na migogoro inayoendelea kwa mda mrefu sasa kati yetu tangu last year in July. wadada na wakaka hebu fungukeni huwa mnafanyaje kuwasahau wapenzi wenu mliowapenda kwa dhati na mkajikuta hamna uwezo wa kuwa nao tena? ushaur wenu unahitajika katika hili, maana nashindwa kumweka mtu mwingine katika moyo wangu....


Sometimes unakufa kijerumani na tai shingoni! manake if it was real ni kazi sana! but ndo hivo unajaribu and keep trying.
 
tafuta mwingine pia kumbuka mabaya yake kila siku na kuyatafakari utamchukia na kumsahau milele
 
my dear...

Mwanaume mmekutana mna meno thelathini na nje yote mbili ndo washindwa kumsahau?

kwanza delete namba yake na contact zake na chochote kinachohusiana nae.....

Gawa tupa kila kinachomhusu

Go out

have fun

date...
 
habari zenu wanajf...
niko kwenye wakati mgumu sana sasa, najaribu kila hali niweze kumsahau mwanaume ninayempenda ambaye naweza kusema uwezo wa kuwa naye tena haupo kutokana na migogoro inayoendelea kwa mda mrefu sasa kati yetu tangu last year in July. wadada na wakaka hebu fungukeni huwa mnafanyaje kuwasahau wapenzi wenu mliowapenda kwa dhati na mkajikuta hamna uwezo wa kuwa nao tena? ushaur wenu unahitajika katika hili, maana nashindwa kumweka mtu mwingine katika moyo wangu....

una mtu kwa sasa?
 
Me naona ukiwa busy kwa jf! huyo jamaa kwisha habr yake,Pia hamna binadm ambye hakuubwa na sehem ya kusahau,oneday utasahau 2,ila ucjali sana tunaweza backup hizo data zisipotee!
 
Usiwazie good times mlizokula.
Capitalize kwenye mabaya aliyokufanyia.
Ona jinsi gani asivyokuthamini kiasi cha kukutenda aliyokutenda.
Fahamu una thamani sana na kwamba kwa kuwa hajaiona thamani yako basi hastahili kuwa na wewe.
Shukuru Mungu kwamba amekuepushia na mabalaa ambayo yangekuja kama ungeendelea naye!
Amini Mungu amekuandalia mtu mwingine atakaye kupenda na kukuthamini.
Kumbuka God's time is the best TIME
Fungua macho na masikio kwa wale wanaonesha mapenzi ya dhati badala ya kuendelea kugeuka nyuma ukitumainia kuwa noticed na X wako.
Pray and God will do the rest!
 
Pole sana mdada.Ni kweli inakuwa ngumu kumsahau mtu ambae ulimpa moyo wako kwa asilimia 100%.Cha muhimu kata mawasiliano na yeye kabisa.Mwombe Mungu nae atakusaidia.Ukicheza utafanya maamuzi kwa mtu ambaye sie.Jipe muda na kujiweka busy sana.Weekend tumia muda wako kukutana na marafiki wa kiume au wa kike ambao mnaishi kama dada na kaka.Pia tafuta rafiki wako wa kiume ambaye unaweza kumuelezea hayo na akayabeba.Mkawa mna chat tuu lakini mpango mzima ni kukufanya wewe kutoboreka.Niliwahi pata maswahiba kama yako.Uzuri nilimtumia rafiki yangu ambaye tulikuwa karibu sana tukiwa chuoni kumweleza yaliyonikuta.Yeye aliweza kuniweka busy kwa kunijulia hali asubuhi mchana na hata usiku.Mara nyingi alinipigia simu mpaka nikajikuta taratibu nasahau yaliyotokea.Nia yake ni kunifanya nisahau yaliyotokea.Kwa kweli namshukuru sana maana alinisaidia sana.Kama ukikosa wa kiume jaribu kujiweka busy na marafiki zako wa kike.Jiunge kwa face book na majukwaa tofauti utakuwa una chat wakati upo idle.Usijaribu kukaa mwenyewe kwa muda mrefu maana hutasahau.
Pili kama kweli una nia ya kujenga familia na husband material, basi fanya juu chini umsahau huyo.hakuwa wa kwako so unapoteza muda wako na kujiumiza mwenyewe.Kuna wakukupa raha zaidi duniani zaidi ya huyo uliyempa roho yako kwa 100%
 
Back
Top Bottom