La kimapokeo!
Vipi umejikwaa ulimi?
Kanisa langu ni la kiroho zaidi... unahijati maombezi spesho
Halafu kuna mtu aseme ati watu wataacha kudumisha MILA homeboy? kwani kimapokeo si ndo kuna MILA ndani yake au sio😀
Kanisa langu ni la kiroho zaidi... unahijati maombezi spesho
Askofu mie nina hofu na mashaka na imani yako ...ninaweza kuwa mmoja wa wanakondoo kiroho zaidi
Kanisa lako halifai. Linaruhusu MILA kudumishwa?
Hatudumishi MILA Chrispin, yeye akija na imani yake ya kimapokeo, tunamjengea imani ya kiroho zaidi
kijana gani huyu?...atakuwa fidel80😀Basi hapo umeumia. Huyo kijana humpati! yeye na mila ni sawa na nywele na saluni!
kijana gani huyu?...atakuwa fidel80😀
amesema OVER HIS DEAD BODY!...Huyu itabidi tumfunge kamba kumkimbiza madhahabuni apewe ndoa takatifu kwa lazima!
kijana gani huyu?...atakuwa fidel80😀
amesema OVER HIS DEAD BODY!...
MILA ataziacha kweli??maanake pamoja na kuwa mzee wa kanisa,MILA AMEENDELEA KUZIENZITunamuweka kwenye sala zetu hasa kipindi hiki cha Kwaresma, Mungu atamsaidia abadilike na aachane na hizo MILA zake
it looks like hujaielewa sredi!lol firstlady1, does your hubby satisfy all ur kitchen desire???, if not, please accept my invitation, im ready to take hold of u any way any how!! I am here to rescue any unstable marriages especially those women who looks for a place to commit a revenge.
By the way "uko kikazi zaidi 2010",,,,lol ......kazi gani hiyo????
say something B! lol
Lol Firstlady1, does your hubby satisfy all ur kitchen desire???, If not, please accept my invitation, im ready to take hold of u any way any how!! I am here to rescue any unstable marriages especially those women who looks for a place to commit a revenge.
by the way "Uko kikazi zaidi 2010",,,,lol ......kazi gani hiyo????
redcard mbona unanionea mwenzio sihitaji kitu chochote na wala sina tatizo hapa tunashea idea tu ...hebu rudia tena kusoma hako ka mada na mijadala zaidi utapata mwanga
2010 niko kikazi zaidi ..kilimo kwanza ...family matter km uzazi wa mpango etc etc
kusimamia na kushauri ndoa ofukozi......hujaiweka ila ni moja ya kazi zako mwaka huu