HIKI NDICHO NINACHOKISEMA nyamayao kuhusiana na kuoa for the love! yaani iko siku tu love itapoteza mvuto na haitakuwa sababu ya msingi ya nyie kuishi pamoja bali zile nyingine. Aksante nyamayao kwa kunisaidia kuiweka vizuri hii mada.
madame niliyopitia yananitosha hata sitaki kukumbuka maumivu yoyote
naona mwenyezi mungu kaamua kunyoosha mkono wake kwangu ..cause naweza kukwambia ya kwangu ukaona hee kumbe yako yana nafuu .
zaidi ya mapenzi..
Ucha Mungu wake..
kila nikienda kwake nakuta amesafisha nyumba na kuipanga vizuri (mwanzoni nilidhani kuna kamsaidizi kananisaidia lakini baada ya kuchunguza kwa makini nikagundua ni yeye mwenyewe)..
sikuwahi kuhisi kuwa ana mwingine zaidi yangu,
malove dove...
sauti yake...inanipa goose bumps (except tunapokuwa tumekorofishana)
uchangamfu wake, ukarimu, kujali, kuwa responsible
kutokunywa pombe wala kuvuta sigara
hayo juu na mengineyo ndiyo yaliyonifanya nimgande kuliko ruba[/QUOTE]
umenichekesha kweli hapo........ndoa jamani zina raha/karaha zake kibao tu.
kweli kabisa usemayo Nyama yao..
1.PJ kila kitu huwa na mwanzo...kwa MTM this is "how it all started"..na binafsi nimeipenda maana kuna element ya kumthamini mtu na utu wake zaidi ya kitu.
2.Hakuna hard and fast rule on how people should meet their future wives /husbands.
Kuna visa vya kufurahisha sana jinsi watu wanavyokutana na nitakupa mifano:
a. Kuna manesi wengi huishia kuolewa na wagonjwa wao kutokana na namna walivyoonyesha huruma wakati wakiuguza.
b. Kuna wanaume huishia kuoa wasaidizi wao - iwe nyumbani au maofisini au sehemu za biashara
c. Kuna watu huishia kuoa watu waliowaokoa katika shida
Mradi kuna ka element fulani kakumgusa mtu moyo wake.
3.Binafsi nadhani ndoa zinapendeza kama watu wanakutana katika situation za kuonyeshana utu kuliko situations ambapo mtu anafuata kitu au analazimika kuingia ndoani kwa vile kawekwa kwenye kona.
FL& Carmel,madame usininyime kadi coz nataka niwe mmoja wa mashaidi wa tukio hili
Kuchanga si tatizo, tatizo hujatukaribisha hata kuchanga! usijali mpenzi all the best. mengine pm.FL& Carmel,
Mnataka kushuhudia mmetoa mchango?I'm just kidding my dear!!
Kama mpo serious mnaweza pata kadi ya kitchen party na send off party , kama mjuavyo huo ni upande wangu kikeni hivyo itakuwa rahisi kupata kadi hata kama hujachanga. Kama mpo serious just PM.
FL& Carmel,
Mnataka kushuhudia mmetoa mchango?I'm just kidding my dear!!
Kama mpo serious mnaweza pata kadi ya kitchen party na send off party , kama mjuavyo huo ni upande wangu kikeni hivyo itakuwa rahisi kupata kadi hata kama hujachanga. Kama mpo serious just PM.
Uko sahihiHujaoa hujakamilika. Mbali na hayo maraha yote ya kitandani, uelewano, kuwa na mtu wa kushea mazuri na mabaya, na on top kujenga family yaani watoto.
Fashion
As for me LOVE na Personality ndo vilinifanya nione kwamba i can spend the rest of my life with him..
Ingawa after ndoa changamoto ni nyingi sana ila he is still my number 1.
Challenge ni part of marriage and since he is not an angel basi tu nakomaa
For those ambao hamjaingia huku make sure u make the right decision..
Living under the same roof na mtu usiyempenda needs a heart ..its a tough job..
Ndoa siyo harusi,ama sherehe.. ndoa ni yale maisha mtakayoishi pamoja
Pole lusungo...Daah umenitonesha sana.... Sijui nianzie wapi aisee....
All in all asante Yesu maisha yanaendelea ila......
Maneno mazito sana haya mkuuAs for me LOVE na Personality ndo vilinifanya nione kwamba i can spend the rest of my life with him..
Ingawa after ndoa changamoto ni nyingi sana ila he is still my number 1.
Challenge ni part of marriage and since he is not an angel basi tu nakomaa
For those ambao hamjaingia huku make sure u make the right decision..
Living under the same roof na mtu usiyempenda needs a heart ..its a tough job..
Ndoa siyo harusi,ama sherehe.. ndoa ni yale maisha mtakayoishi pamoja
Hah... haya bwana.... Its your right and you know that.Uko sahihi
MmmmmnnnnhhhhhMIMI NATAKA KUOA COZ NAOGOPA KULALA PEKE YANGU MJUMBA MKUBWA USIKU NAHISI KUNA WAGENI SEBULENI MARA TAA ZIZIMWE NA KUWASHWA NA WASIOONEKANA........JAMAN NATAKA KUOA MKE TUTAKAE SHARE NAE HAYA MATATIZO HASA HILI LA KUPIGWA MAKOF NA HILI LA KUAMKIA UVUNGUNI WAKAT NLILALA KITANDANI