Mugabe bado sana. Mugabe katawala miaka 33, hajamfikia hata Ghadaffi aliyetawala miaka 42. Jamaa ndo kiongozi pekee Africa aliyesalia anayejisimamia dhidi ya mabeberu, ndo maana marekani na ulaya hawampendi na wanampakizia uongo kama huu ili waafrika tumchukie